BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kama vile haya mambo yalijulikana kabla
tume ya katiba imedai ni ngumu kupata katiba kwa muda waliopangiwa ati imekuwa ngumu
kupata maoni ya kila wananchi kama inavyotakiwa na hivyo kuomba waongezewe muda
kama kweli hali ndio hii basi zile billion za katiba akuna haja ya kuwepo tusimamishe
tupeleke sehemu muhimu then katiba tusubiri 2020...
Hii nchi imekuwa kila sehemu mtu akipewa anafikiria kula kula tuuuuuuuuuuuuu
sijui wataacha linikwa haabri zaidi soma tanzania daima
tume ya katiba imedai ni ngumu kupata katiba kwa muda waliopangiwa ati imekuwa ngumu
kupata maoni ya kila wananchi kama inavyotakiwa na hivyo kuomba waongezewe muda
kama kweli hali ndio hii basi zile billion za katiba akuna haja ya kuwepo tusimamishe
tupeleke sehemu muhimu then katiba tusubiri 2020...
Hii nchi imekuwa kila sehemu mtu akipewa anafikiria kula kula tuuuuuuuuuuuuu
sijui wataacha linikwa haabri zaidi soma tanzania daima