Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Ni jambo la kusikitisha sana,pale wajumbe wanapokuja kutumikia nafasi yao kwa kulinda heshima na marupurupu waliyonayo,badala ya kutumikia hoja zawananchi.
Kwangu mimi kupewa Nyumba na gari ni rushwa,wengi watapaswa kutumikia nyazifa hiyo badala ya kazi maalum waliyopewa,na hapa ndipo uwajibibikaji utakuwa tatizo.
Nimeleta hapa tujadili na kutuma ujumbe kwa wahusika.
Kwangu mimi kupewa Nyumba na gari ni rushwa,wengi watapaswa kutumikia nyazifa hiyo badala ya kazi maalum waliyopewa,na hapa ndipo uwajibibikaji utakuwa tatizo.
Nimeleta hapa tujadili na kutuma ujumbe kwa wahusika.