Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
- Thread starter
- #21
Nimegundua mawazo mengi yapo kwenye utawala bora badala ya uongozo bora ( refer Prof Shivji na mijadala yake ITV) Tunahitaji pia kujadili Autonomy ya uongozi ktk ngazi ya Msingi/shina, kijiji/mitaa na wilaya.
Uwezo wao wa kujichagulia viongozi, kumiliki ardhi na kuamua hatma ya maisha yao kwa ujumla. mjadala huu ni mwelekeo wa uongozi bora vs utawala bora.
Kwa maoni yangu lazima tuachane na utawala bora ktk katiba mpya, badala yake tukazanie uongozi bora ambao umejikita kwenye dhana ya nguvu ya umma. Najua hili linahitaji maelezo marefu sana kueleweka kwa mtu ambaye hana background hii na hajamsikiliza prof Shivji.
Uwezo wao wa kujichagulia viongozi, kumiliki ardhi na kuamua hatma ya maisha yao kwa ujumla. mjadala huu ni mwelekeo wa uongozi bora vs utawala bora.
Kwa maoni yangu lazima tuachane na utawala bora ktk katiba mpya, badala yake tukazanie uongozi bora ambao umejikita kwenye dhana ya nguvu ya umma. Najua hili linahitaji maelezo marefu sana kueleweka kwa mtu ambaye hana background hii na hajamsikiliza prof Shivji.