Wazee wa mkoa wa mara kwa muda mrefu wamekuwa wakiiomba tume ya jaji warioba kwenda kutoa ufafanuzi wa katiba,tume imesikia maombi yao na kwa pamoja wajumbe wa Tume wakiongozwa na Jaji Warioba, Humphrey Polepole na Joseph Butiku watatoa elimu kwa wananchi wa mkoa wa mara katika ukumbi wa MCC Musoma mjini tarehe 28 December kuanzia saa nane mchana.
Kwa hisani ya wazee wa mkoa wa mara wananchi wote mnaombwa kufika bila kukosa.
SEMA HAPANA KWA KATIBA YA CCM NA VIBARAKA WAKE
Kwa hisani ya wazee wa mkoa wa mara wananchi wote mnaombwa kufika bila kukosa.
SEMA HAPANA KWA KATIBA YA CCM NA VIBARAKA WAKE