chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 211
hellow wana jamvi
Hivi hii tume kwanini isipewe meno au iwe taasisi iwe na uwezo wa kukamata mtu au kikundi cha watu wanaovunja haki za binadamu na kuwafungulia mashitaka kama ilivyo kwa TAKUKURU,NEMC,TRA na zinginezo
Mnasemaje wana jamvi?
Hivi hii tume kwanini isipewe meno au iwe taasisi iwe na uwezo wa kukamata mtu au kikundi cha watu wanaovunja haki za binadamu na kuwafungulia mashitaka kama ilivyo kwa TAKUKURU,NEMC,TRA na zinginezo
Mnasemaje wana jamvi?