Mmmh!!!!!!! Kumekucha, Mkurugenzi wa operation Capt SADIKI MUZE kapigwa chini
Wakuu,
Ni takriban siku ya nne sasa tangu kampuni ya ndege ya tanzania ATCL ilipoanza tena shughuli zake. Hali halisi inasikitisha kwani ndege zimekuwa zinaenda tupu au kubeba abiria wachache mno!!!. Kwa wastani ni kama abiria watano"5" kila flight kwani namba zenyewe zinacheza kati ya "0" mpaka "10". Utafiti uliofanyika unaonyesha kuwa abiria wengi hawana habari kuwa ATCL imeanza tena safari zake, hivyo hakuna budi juhudi za makusudi za kutangaza bishara hii zipewe kipaumbele. Fedha inayochezewa kurusha ndege tupu ilitosha kutangaza kwenye radio, Tv na magazeti.
Kwenu wadau[/QU
Ajabu ni ile kutangaza jumamosi kuwa ndege jumatatu zitaanza kuruka,je watu walipewa nafasi ya kukata ticket mapema? hivi ni kweli kuwa ATCL hawana sales manager akawashauri? au ni majibu ya haraka kwa mkuu aliyependa kuona ndege zinaruka mara moja?