Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Tutumie Muda kiduuchu huu kabla ya 2014 Kuunda TUME Huru ya Uchaguzi. Mambo haya ya KATIBA Na Muungano tutatoana Damu watanzania ivi-ivi.
Tunahitaji kujenga KATIBA Kwa mustakabali wa watanzania wote. Bahari mbaya midudumtu imeshaingilia mchakato huu nyeti. Maslahi ya kisiasa Na ubabe yamepewa vipaumbele sana kwanye MCHAKATO huu. Ni wazi Kwamba hututa PATA Katiba ya Tanzania Bali katiba ya kundi flani la Kisiasa.
Tunahitaji kujenga KATIBA Kwa mustakabali wa watanzania wote. Bahari mbaya midudumtu imeshaingilia mchakato huu nyeti. Maslahi ya kisiasa Na ubabe yamepewa vipaumbele sana kwanye MCHAKATO huu. Ni wazi Kwamba hututa PATA Katiba ya Tanzania Bali katiba ya kundi flani la Kisiasa.