Wakuu kwa heshima yenu naomba mnisaidie kuirudisha furaha ya mchumba angu ilopotea tangu aanze kusumbuliwa na tumbo.
Tulifuatilia hospital wakatuambia dawa ni kumtandika MIMBA Ndo atapona! Tatizo suala la mimba yamekaa vibaya sababu hatukupanga, na isitoshe binti wa watu bado anapekua madaftari so ntampa mzigo mno na pia bado hatujaoana kwahyo inaweza leta shida zisizo za lazma.
Naomba msaada kama kuna tiba tofaut na hii, maana vilio haviishi had naogopa kupokea sim yake, ila alinigusia kuwa aliambiwa na wenzie eti ni "chango!" yaani hata sielewi! Nawasilisha wakuu.
Tulifuatilia hospital wakatuambia dawa ni kumtandika MIMBA Ndo atapona! Tatizo suala la mimba yamekaa vibaya sababu hatukupanga, na isitoshe binti wa watu bado anapekua madaftari so ntampa mzigo mno na pia bado hatujaoana kwahyo inaweza leta shida zisizo za lazma.
Naomba msaada kama kuna tiba tofaut na hii, maana vilio haviishi had naogopa kupokea sim yake, ila alinigusia kuwa aliambiwa na wenzie eti ni "chango!" yaani hata sielewi! Nawasilisha wakuu.