Habari ya ss wapendwa napenda kuomba msaada juu ya hili kwa yyte anaye fahamu ni miezi mnne ss tangu wafi ajifungue but tangu kajifungu tumejaribu kufunga tumbo nimenunua mkanda lakini naona bado tumbo halitaki kuisha
so kwa anaefahamu dawa au hw i can do to finish anisaidi .maanake haliko pouwa sana ingawa limeisha kimtindo lakini bado sio navyotaka.
Please msaada wenu unaitajika sana
so kwa anaefahamu dawa au hw i can do to finish anisaidi .maanake haliko pouwa sana ingawa limeisha kimtindo lakini bado sio navyotaka.
Please msaada wenu unaitajika sana