Tumbo kujaa Maji

Z kama Z

Member
Jul 6, 2011
60
10
Hi Wanajamii habari za asubuhi
jamani ninapenda kama kuna watu wanaweza kuelewa hii kitu ni kuwa kuna shemeji yangu ana jawa na maji tumboni walienda kupima wakaambiwa milija fulani hivi haifanyi kazi. Sasa nlitaka kujua tiba ya hii kitu halafu nijue chanzao chake ni nini
Please kama kuna wataalam wanaolijua swala hili embu nijuze
n.
 
Hi Wanajamii habari za asubuhi
jamani ninapenda kama kuna watu wanaweza kuelewa hii kitu ni kuwa kuna shemeji yangu ana jawa na maji tumboni walienda kupima wakaambiwa milija fulani hivi haifanyi kazi. Sasa nlitaka kujua tiba ya hii kitu halafu nijue chanzao chake ni nini
Please kama kuna wataalam wanaolijua swala hili embu nijuze
n.

Shemeji yako:
1. Ni wa jinsia gani?
2. Ana miaka mingapi?
3. Alianza kupatwa na tatizo hilo tangu lini?
4. Huwa anapendelea kutumia pombe?
4. Hali yake ya sasa ipoje, amelazwa hospitali au yupo tu nyumbani?
5. Ana uzito wa kilo ngapi?
Jitahidi nijibu maswali hayo na nitarudi tena.
 
Mazogola thanks a lot nimekutana na hii thread hapa............Mzee wangu nae anatatizo kama hilo na limemuweka KCMC wiki ya tatu sasa..........Yeye alikuwa na Hernia na akafanyiwa operation baada ya Operation tatizo la tumbo kujaa maji likaanza likiambatana na vichomi vikali........mwanzoni tulidhani tumbo linajaa gas ila tulipompeleka KCMC wakatuambia tumbo linajaa maji..wiki ya tatu sasa hajapata nafuu na utumbo umevimba kwa sababu hali chakula.............Kesho wanamrudisha theater kwa ajili ya upasuaji sasa sijui wanairudia ile ya mwanzoni ama vipi..........maana wanasema daktar aliyemfanyia ya kwanza kuna mishipa ya maji aliikata.WENYE KUJUA WATUSAIDIE.....Mi mzee wangu anateseka sana
 
Mazogola thanks a lot nimekutana na hii thread hapa............Mzee wangu nae anatatizo kama hilo na limemuweka KCMC wiki ya tatu sasa..........Yeye alikuwa na Hernia na akafanyiwa operation baada ya Operation tatizo la tumbo kujaa maji likaanza likiambatana na vichomi vikali........mwanzoni tulidhani tumbo linajaa gas ila tulipompeleka KCMC wakatuambia tumbo linajaa maji..wiki ya tatu sasa hajapata nafuu na utumbo umevimba kwa sababu hali chakula.............Kesho wanamrudisha theater kwa ajili ya upasuaji sasa sijui wanairudia ile ya mwanzoni ama vipi..........maana wanasema daktar aliyemfanyia ya kwanza kuna mishipa ya maji aliikata.WENYE KUJUA WATUSAIDIE.....Mi mzee wangu anateseka sana
Please kama kuna wataalam wanaolijua swala hili embu nijuzen.

Baba yako:
1. Ana miaka mingapi?
2. Alianza kupatwa na hernia tangu lini?
3. Huwa anapendelea kutumia pombe?
4. Ana uzito wa kilo ngapi?
 
Shemeji yako:
1. Ni wa jinsia gani?
2. Ana miaka mingapi?
3. Alianza kupatwa na tatizo hilo tangu lini?
4. Huwa anapendelea kutumia pombe?
4. Hali yake ya sasa ipoje, amelazwa hospitali au yupo tu nyumbani?
5. Ana uzito wa kilo ngapi?
Jitahidi nijibu maswali hayo na nitarudi tena.

1. Ni wa kike
2.Ana Miaka 21
3. alianza kupatwa na tatizo hili mwaka huu ka miezi 3 nyuma
4.Hatumii kilevi cha aina yoyote
5. Hali yake kwa ss sio nzuri kwani moyo pia unaaanza kuuma
6. Ana uzito wa kili 55
 
1. Ni wa kike
2.Ana Miaka 21
3. alianza kupatwa na tatizo hili mwaka huu ka miezi 3 nyuma
4.Hatumii kilevi cha aina yoyote
5. Hali yake kwa ss sio nzuri kwani moyo pia unaaanza kuuma
6. Ana uzito wa kili 55

Swali la tano nilitaka kujuwa hali yake, pia endapo amelazwa hospitali au kuna dawa gani anatumia, anatembea peke yake?. Niandikie namba yake ya simu nimpigie binafsi.

Nyumbani | maajabuyamaji.net
 
Please kama kuna wataalam wanaolijua swala hili embu nijuzen.

Baba yako:
1. Ana miaka mingapi?
2. Alianza kupatwa na hernia tangu lini?
3. Huwa anapendelea kutumia pombe?
4. Ana uzito wa kilo ngapi?
Mkuu mzee ana miaka 58 sasa na not less than 50 kg maana amepungua kwa sababu ya haya maradhi............hatumii wala hajawahi kutumia kilevi..............Hernia ilimuanza kama mwka mmoja uliopita tunazungumzia mwaka 2010 mwishoni ndo matatizo ya Hernia yalimuanza
 
Mkuu mzee ana miaka 58 sasa na not less than 50 kg maana amepungua kwa sababu ya haya maradhi............hatumii wala hajawahi kutumia kilevi..............Hernia ilimuanza kama mwka mmoja uliopita tunazungumzia mwaka 2010 mwishoni ndo matatizo ya Hernia yalimuanza
Tayari nimeku-PM mkuu, uguza pole.
 
tatizo la kujaa maji tumbo husababishwa sana na protini kupungua kwenye damu, mfano1 maini hutengeneza protini na pombe huwa ina haribu maini kwa hiyo maini yakiharibika protini kwenye damu hupungua na kusababisha maji kutoka kwenye mirija ya damu na kujaa tumboni, mfano2 mtoto mwenye kwashakoo huwa amepungukiwa protini hivyo unakuta mtoto kakonda mbavu tupu ila tumbo kubwa mfano3 huyo ambaye babaake kafanyiwa upasuaji itakuwa mirija ya lymph imekatika ambayo husafirisha protini kwenda kwenye damu hivyo protini kupungua kwenye damu na kusababisha tumbo kujaa. kunasababu zingine pia kama mtoa mada tatizo litakuwa ni moyo yaani unashindwa kusukuma damu fresh hivyo inajaa mishipani sasa mishipa ili ijiokeo kupasuka inavujisha maji. matibabu makubwa ni kufanya tapping ya hayo maji wanakutoboa tumbo na kutoa maji. nahisi nimeeleweka.
 
Back
Top Bottom