tumaimarishe serikali za mitaa

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Nov 10, 2008
3,007
2,429
Hapa Tanzania Serikali za mitaa ni dhaifu. Ni wangapi kati yetu ambao tunamfahamu diwani wetu ni nani.
Nimeona USA jinsi ambavyo sheria a mitaa zinawekwa kwamba hairuhusiwi kupigana ndani ya vyombo vya Pubilc Transport. Sijaona hapa sheria watu wasibishane ndani ya daladala.
 
Back
Top Bottom