Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Hapa Tanzania Serikali za mitaa ni dhaifu. Ni wangapi kati yetu ambao tunamfahamu diwani wetu ni nani.
Nimeona USA jinsi ambavyo sheria a mitaa zinawekwa kwamba hairuhusiwi kupigana ndani ya vyombo vya Pubilc Transport. Sijaona hapa sheria watu wasibishane ndani ya daladala.
Nimeona USA jinsi ambavyo sheria a mitaa zinawekwa kwamba hairuhusiwi kupigana ndani ya vyombo vya Pubilc Transport. Sijaona hapa sheria watu wasibishane ndani ya daladala.