Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,043
- 179
huu ni wizi hakuna mtu yuko nje ana mpenzi bongo,kama yupo anadanganya na ana mpenzi mwingine huko :twitch::coffee:
Sio vizuri hivyo rose kuwasema wenzako... wapenzi wa kweli wako bongo!!!
huu ni wizi hakuna mtu yuko nje ana mpenzi bongo,kama yupo anadanganya na ana mpenzi mwingine huko :twitch::coffee:
huu ni wizi hakuna mtu yuko nje ana mpenzi bongo,kama yupo anadanganya na ana mpenzi mwingine huko :twitch::coffee:
Huu uzungu utatufikisha Pabaya...Mtu yupo ULAYA anitumie chocolate au Maua Bongo???? tena kwa DOLARI zote hizo??? si bora anitumie hizo dola???? Then hayo maua ntayafnya nini????? NIYAANGALIE TU?????????????????????????????
Thats 70 pounds, kwa haraka ni zaidi ya 150,000/=... Je haitakuwa rahisi kuvipata hivyo vitu Dar na kuna gurantee ya kwamba vitafika siku ya siku sababu na hizi delivery zinaweza zikafika tarehe 20..
Ye yuko bongo anataka kuwasaidia waliopo nje kununua vitu na kuwafikishia walengwa!
Got you nice and perfect idea......
Mhuuu!Ushamnunulia mwenzio na wewe??
VoR wazee hawahitaji sana kukumbushwa wala kuringishia kwa wenzao wanapendwa bwana!Hivyo vijizawadi ni kuwakoga wengine zaidi..nae aonwe anapendwa!Then akikuta candle light mlo nyumbani ni zamu yake kuona anapendwa so make her happy!
Paving the road to the promised land.
Tatizo sijajua address yake bado.. and time is running out.... maybe a virtual card, virtual flowers na wine will have to do for now :sad::embarrassed:VoR wazee hawahitaji sana kukumbushwa wala kuringishia kwa wenzao wanapendwa bwana!Hivyo vijizawadi ni kuwakoga wengine zaidi..nae aonwe anapendwa!Then akikuta candle light mlo nyumbani ni zamu yake kuona anapendwa so make her happy!
Mapenzi ya kizungu hayo
mimi kwangu ni mchele na kapu la samaki....
Bado kuna kesho so itafute!Ila hata txt ya maneno matamu could be satisfying!Tatizo sijajua address yake bado.. and time is running out.... maybe a virtual card, virtual flowers na wine will have to do for now :sad::embarrassed:
Bado kuna kesho so itafute!Ila hata txt ya maneno matamu could be satisfying!
Satisfying maybe, lakini is it enough.., kuna vitu siku hizi vimekuwa diluted hadi its very hard to convey the actual meaning, You Know.., I love you is it really I LOVE YOU...,
I think it is!Just give it a go..and stop analyzing everything..it makes life more complicated than it should be!
VoR for me personally home cooked meal would do..but for many a card..flowers and lunch at Kempisk would be the high light of their day!So you gotta know your lady..if she is materialistic then anything that costs alot of money is what would make her day!Hehehe..pay up kwa kuchakachua thread ya mwenzio!
I'm not tempted!But I would love to afford one myself!Even from a materialistic Girl what is priceless... a diamond ring with a price tag of 100,000USD from Bill Gates, or a Gold Ring costing 100USD from a Machinga who earns that amount in a year..., remember this day is all about showing appreciation na caring sio competition who has got a fat wallet.
Mmmh usiniambie you are not tempted with that ring from Bill Gates (materialistic or not)......