K Konaball JF-Expert Member Mar 11, 2009 2,949 1,940 Feb 17, 2011 #41 karudi baba mmoja toka safari yambali kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili watoto wake wakaja ili kumtaka hali... ......malizieni basi
karudi baba mmoja toka safari yambali kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili watoto wake wakaja ili kumtaka hali... ......malizieni basi
F FUSO JF-Expert Member Nov 19, 2010 31,635 37,849 Feb 17, 2011 #42 Sadiki na Sikiri Sikiri mi maskini Uvivu wangu jumbani, Nakufa hapa njiani Sadiki sasa ashiba Chakula kingi kwa baba, Nakufa hapa kwa nini? Alishushwa na basi njiani sababu alikuwa hana nauli - alitoroka kilimo na shughuli za shamba na ufugaji nyumbani kwao.
Sadiki na Sikiri Sikiri mi maskini Uvivu wangu jumbani, Nakufa hapa njiani Sadiki sasa ashiba Chakula kingi kwa baba, Nakufa hapa kwa nini? Alishushwa na basi njiani sababu alikuwa hana nauli - alitoroka kilimo na shughuli za shamba na ufugaji nyumbani kwao.
Ritz JF-Expert Member Jan 1, 2011 46,933 32,342 Feb 17, 2011 #43 Mnakumbuka kitabu cha shamba la bwana elly na kitabu cha baharia pius, kingine cha bibi tarabusi aaahaaa. kingine mkenge mkengeni
Mnakumbuka kitabu cha shamba la bwana elly na kitabu cha baharia pius, kingine cha bibi tarabusi aaahaaa. kingine mkenge mkengeni