Tuliosoma Shule ya Sekondari Tosamaganga tukutane hapa

Hata bila kusema hivo mimi nilihisi kitu kama hicho ulichokisema hapo juu, kitu kingine ni hiyo avata yako yani kama tule tuzee twa mafinga sasa hakana koti alafu ni mwezi wa sita, Heshima kwako kaka, Makasi bwana!

Huyu ameturahisishia sana, Rev. kama sio wa familia ya wissiko a.k.a askofu, basi ana urafiki nao. Amekulia mkalifya huyu.
 
Dah, mmenikumbusha mbali saaaaaaaana sana. Enzi za Tosa. Na marehemy mzee DUDU!
Characters zinazonikosha na nazikumbuka mpaka leo ni pamoja na:

1. Paschal Joseph Mugasa- Classs Monitor CBG 1990-1992. Jamaa alikuwa mnoko usipime. Naambiwa siku hizi amekuwa, ameacha
2. Muhidin Amour; duh usiseme!
3. Angolwisye Malaiso, bonge la football striker, sijui iko wapi hii kijana
4. Lugano aka MC na panki lake ilikuwa raha sana.
5. Makinya: jamaa nilikuwa namhusudu sana intellectually. Sijui kama si padre huyu?
6.Mwalwambile: aisee kweli Mungu anaumba viumbe wake, sina la kuongeza!
7. Mwalimu anaitwa Maulaga; huyu akanifanya niogope kuwa mwalimu. Ngoma full time iko drunk- ulanzi, komoni, ugimbi ++++
8. Maradona: kwa kweli mpira wa miguu bongo ni kwa wasiosoma. jamaa angeendeleza fani angekuwa ni sawa na Asamor Gyan


Natamani kurudi pale, angalau kutembelea tu. Sijui pako vipi now? Jamaa aliniambia pikipiki na daladala zinapanga foleni kusubiri watorokaji wakati sisi tulikuwa tunakula 5 km na ikibidi 19 km to town fresh kabisa.
 
aisee hizi picha wee acha tu, mnapakumbuka sinagogi nyie? si mlikuwa mnatuponda mawe wakati tunasali. huyu aliyeleta hii siredi barikiwa sana. mie nilikuwa pale tangu 1991-1997 yaani one to six nilipiga PCM nawakumbuka sana walimu wangu wale wazungu wakemia na yule mdada wa hesabu, halafu usipime fizikia alikuwepo ticha mmoja noma anapanda mpaka mezani ila nasikia alihamishiwa baraza la mitihani.

Duh wewe ukinitajia jina ntakufahamu, maana mm nilijoin 1995-1997 form five na six EGM namkumbuka sana Mwalimu wangu wa economic na Geography Mr Mwavika na Mr Mgaya. Namkumbuka Mwavika kwa a lot of terminologies akija assembly asubuhi kutoa speeach, very interesting. Halafu namkumbuka mtu mmoja alikuwa anacheza sana mpira Masote Kalembo sijui yuko wapi. Huyo mwalimu wako aliyeamishiwa baraza la mitihani anaitwa Mr Magesa kama sikosei alikuwa akifundisha Physics, nilikuwa nikikutana nae siku za miaka ya 2000-2004 ila nina muda sijamuona hapa Dar sijui yuko wapi siku hizi.
 
Mr.Mwavika a.k.a Contra mtaalamu wa Economics alitufundisha maujanja mengi sana ikiwemo usemi wake kila akija ''don't break your brain, sometimes you can pass the examination by just copying down the title direct from the question paper which is easily obtainining marks without any need of using scientific calculator''
 
Aisee mmenikumbusha mbali sana,enzi za dudu aka mpogole,alipotimuliwa alikuja headmaster msukuma aitwaye Mbanga.
Second master Mwavika sijui yuko wapi siku hizi?
Enzi za half mile na quota mile.Duh enzi zile

Mbanga ni lile zee lillikuwa na Mdomo umepinda? Kwa wanawake noumer, lilipotoka tosa nadhani lilienda Shybush likasababisha fujo na migomo watoto wakabomoa ovyo shule! Pia lina record mbaya ya kutembea na wake za maticha lolz!
 
Dah, mmenikumbusha mbali saaaaaaaana sana. Enzi za Tosa. Na marehemy mzee DUDU!
Characters zinazonikosha na nazikumbuka mpaka leo ni pamoja na:

1. Paschal Joseph Mugasa- Classs Monitor CBG 1990-1992. Jamaa alikuwa mnoko usipime. Naambiwa siku hizi amekuwa, ameacha
2. Muhidin Amour; duh usiseme!
3. Angolwisye Malaiso, bonge la football striker, sijui iko wapi hii kijana
4. Lugano aka MC na panki lake ilikuwa raha sana.
5. Makinya: jamaa nilikuwa namhusudu sana intellectually. Sijui kama si padre huyu?
6.Mwalwambile: aisee kweli Mungu anaumba viumbe wake, sina la kuongeza!
7. Mwalimu anaitwa Maulaga; huyu akanifanya niogope kuwa mwalimu. Ngoma full time iko drunk- ulanzi, komoni, ugimbi ++++
8. Maradona: kwa kweli mpira wa miguu bongo ni kwa wasiosoma. jamaa angeendeleza fani angekuwa ni sawa na Asamor Gyan


Natamani kurudi pale, angalau kutembelea tu. Sijui pako vipi now? Jamaa aliniambia pikipiki na daladala zinapanga foleni kusubiri watorokaji wakati sisi tulikuwa tunakula 5 km na ikibidi 19 km to town fresh kabisa.


....kwa flashback hiyo nimeshindwa kuvumilia! Huyo mshikaji alikua CBG, mimi niliishi nae chumba kimoja (Ujamaa). He was a nice guy..though kuwa mtoto wa mkubwa katika nchi...unaweza kujikuta huna haja ya kuhangaika saaana kubukua kama akina sie! Jamani kuna anayejua Muhidin yuko wapi....
 
Mr.Mwavika a.k.a Contra mtaalamu wa Economics alitufundisha maujanja mengi sana ikiwemo usemi wake kila akija ''don't break your brain, sometimes you can pass the examination by just copying down the title direct from the question paper which is easily obtainining marks without any need of using scientific calculator''

...Mr Mwavika alikua bonge la mwalimu kwenye Economics. Contra-purpose alinifanya niupende sana uchumi. Baadaye akaja kuwa Afisa Elimu (Wilaya au Mkoa) pale Iringa halafu akastaafu.Ninachojua ni kuwa hakuwa prepared na maisha ya kustaafu hivyo kimaisha (economically) hayuko vizuri. Niliposikia hili roho iliniuma lakini sijui wa kuaumiwa kama ni yeye mwenyewe au mfumo wetu wa pension kwa wastaafu?!
 
tosa kumbe ni bonge la shule!! hivi ndo tuseme tungebaia na wazungu leo tungekua mbaaaliii!
mananke seerikai wala haijaweza kujenga shule kali kama hii kwa miaka yote hyo.'
sanasana hizi shul zitakua zimechakaatu sahii.
kiboko yenu inyi ilikua MALANGALI.MGL. THE BRIDGE TO UNIVERSITY.
 
Aisee mmenikumbusha mbali sana,enzi za dudu aka mpogole,alipotimuliwa alikuja headmaster msukuma aitwaye Mbanga.
Second master Mwavika sijui yuko wapi siku hizi?
Enzi za half mile na quota mile.Duh enzi zile
da mbali sana mmenikumbusha
mbanga alitusumbua sana wakati mkewe ameenda kusoma anatukurupusha asubuhi na baridi ile du, na huyo mwavika aka kontra, namkumbuka chogo wa kemia, mtesigwa wa physics, rambau wa ds
 
Matuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuure - kachote umeme! I miss it! Wapi akina double man, given mariki, power, ... msela..., nk
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa Magero, alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kupiga dona siku moja alinikimbiza sana kutaka kunipiga lakini hakunipata, tukiwa tumejichotea chakula DH nilikutana nae, ilikuwa hivi

Mimi; Kaka pole unaumwa?
Magero; (kwa ukali) kwani vipi?
Mimi; naona umechukua kachakula kadogo (huku ana mbakuli unaingia kama sahani tano tunazotumia sisi, tatizo watu wakaribu walicheka ndipo alipoamua kunifukuza)
 
Du! wadau mmenikumbusha mbali sana, enzi zile 1990 second master alikua anapiga bit la kwenda ipamba, na zile vurugu na mkwala wa msaki.
constant zilikua nane.'' go east go west but home is best''
 
Kijana umenikumbusha mbali sana. Enzi za akina Mponzi, Mr. Markin, Miss Perry, Msalilwa,Mkangwa, Fyudo enzi za Idete na kuchunga ng'ombe. ni siku nyingi sana zimepita. Na yale makhaki yetu, tukisubiri kucheza disco na zoo.
 
I was there A' level 1984 - 86, duuuuuuuuuu inanikumbusha mbali HeadMaster Dudu Second Master bwana mmoja mchaga aliyekuja kuwa HeadMaster Azania
 
Back
Top Bottom