Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,389
- 26,836
Naona utangazaji wa vyeti vilivopotea umeshika kasi sana.. Watu wamekalia ajira zetu , wadau tuna migamba genuine huku alaf wao wanaleta upuuz , ondoa wote hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakika mwaka huu tutaona mengi sana siku zote hizo sijui walikua wapi kutangaza mambo yamewafika hapaaa wanahahaNaona utangazaji wa vyeti vilivopotea umeshika kasi sana.. Watu wamekalia ajira zetu , wadau tuna migamba genuine huku alaf wao wanaleta upuuz , ondoa wote hao View attachment 368858
Mkuu mbona povu wakati kilichozungumzwa na mtoa mada kinadhihilika kupitia redio ngamizi na magazeti kama alivyoambatanisha.nini maoni yako ikiwa ni nawazo mbadala ya aliyoyasema mtoa uziAcha upuuzi mwehu wewe.
Mbona hyo ni rais sana, kama umedanganya wakiifuata hyo no kule baraza wanaikuta.... Hoja hapo si kupoTea, hoja je unacho?
Mkuu mbona povu wakati kilichozungumzwa na mtoa mada kinadhihilika kupitia redio ngamizi na magazeti kama alivyoambatanisha.nini maoni yako ikiwa ni nawazo mbadala ya aliyoyasema mtoa uzi
Rudi shule upate cheti originalAcha upuuzi mwehu wewe.
Msamehe mkuu inaonekana na yeye kapoteza ana mpango wa kutangaza kupotelewa kwa vyetiMkuu mbona povu wakati kilichozungumzwa na mtoa mada kinadhihilika kupitia redio ngamizi na magazeti kama alivyoambatanisha.nini maoni yako ikiwa ni nawazo mbadala ya aliyoyasema mtoa uzi
Mbona hyo ni rais sana, kama umedanganya wakiifuata hyo no kule baraza wanaikuta.... Hoja hapo si kupoTea, hoja je unacho?