Tulimcheka Kikwete kumbe wengine wapo!

Mzee Mwenzangu

Kwanini hawakutumia Lugha ya kiswahili?

You have nailed it..
 
Kitu chochote unachoweka sahihi hakitaki haraka haraka. Aliyetia sahihi nchi za watu wanaojali kuwajibika hana budi kujieleza au hata kuwajibishwa.

Kama hilo hundi kubwa hivyo anaboronga sijui kama anaweza kufuatilia small print za contracts zinazohitaji sahihi.


Kwanza kabisa hiyo cheque ikienda benki, hakuna malipo yoyote yatakayofanyika hapo, mpaka irudishwe ili iandikwe upya au wahusika wa-cross saini baada ya kurekebisha tofauti itiyopa hapo. Hii inaonyesha ni jinsi gani walio na madaraka wasivyokuwa makini na kazi/dhamana walizopewa. Huyu afisa aliyesaini hapo anahusika kwa namna yoyote ili kujibu tuhuma hizo. Hakutakiwa kusain bila kuangalia uhalali wa kilichoandikwa hapo...

WITO WANGU KWA WOTE WALIOPEWA DHAMANA NA WANANCHI AU NA WAKUBWA ZAO........WATAMBUE KUWA.... CHEO NI DHAMANA
 
Kisawahili pia kina utata wake...hebu andika hizi kwa maandishi...Tshs 11,000 na Tshs 10,001 kwa kiswahili

Yaani nimecheka saaaaaaaaaana!:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:
Hata hivyo baada ya kufikiria, nikasema ngoja niiandike........Tshs. Elfu kumi na moja tu! na Tshs. Elfu kumi na shilingi moja tu! Am i right??
 
IMG_0605.JPG



Meneja Uhusiano wa TBL,Edith Mushi (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milion 4.8 kwa Mwenyekiti wa TASWA FC,Majuto Omary kwa ajili ya mashindao ya Bonanza huko mkoani Arusha.katikati ni Afisa Uhusiano wa TBL,Lilian Erasmus.


Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imetoa sh. 4, 875,000 kwa timu ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo Nchini (TASWA FC) kwa ajili ya kushiriki katika bonanza la waandishi wa habari wa Mkoa wa Arusha.


Nimetafakari pia nikagundua kumbe huo ni mfano wa hundi! Original itaandikwa sahihi (correctly!!!)
 
IMG_0605.JPG



Meneja Uhusiano wa TBL,Edith Mushi (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milion 4.8 kwa Mwenyekiti wa TASWA FC,Majuto Omary kwa ajili ya mashindao ya Bonanza huko mkoani Arusha.katikati ni Afisa Uhusiano wa TBL,Lilian Erasmus.


Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imetoa sh. 4, 875,000 kwa timu ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo Nchini (TASWA FC) kwa ajili ya kushiriki katika bonanza la waandishi wa habari wa Mkoa wa Arusha.


Nimetafakari pia nikagundua kumbe huo ni mfano wa hundi! Original itaandikwa sahihi (correctly!!!)
 
Yaani nimecheka saaaaaaaaaana!:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:
Hata hivyo baada ya kufikiria, nikasema ngoja niiandike........Tshs. Elfu kumi na moja tu! na Tshs. Elfu kumi na shilingi moja tu! Am i right??

Wrong...ni shilingi kumi na moja alfu(11,000) na shilingi kumi alfu na moja(10,001)...wengi tunapenda kutamka shilingi elfu kumi na moja....sasa utata zote mbili zinatamkwa hivyo kwa kisawhili kibovu
 
Mi nadhani pamoja na sababu nyingine, pengine lugha inayochechemea pia ni sababu inafanya watu washindwe kusema kile wanachotaka kukisema katika maandishi.



tatizo linaweza kutokana na undugunization (nepotism); watu wanajazana maeneo ya kazini kwa kupigiana mapande ndugu kwa ndugu matokeo yake ndiyo hayo mtu anafanya kazi kwa kufuata mazoea.
 
Back
Top Bottom