Angalia hapo kwenye rangi nyekundu au rudi usome tundiko la kwanza......
Mkubwa, hata hao waandishi nao hawana clue, angalia hapa chini kwenye blue
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imetoa sh. 4, 875,000 kwa timu ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo Nchini (TASWA FC) kwa ajili ya kushiriki katika bonanza la waandishi wa habari wa Mkoa wa Arusha.