Tulikwenda kupigana msumbiji kama nani!!

Ndugu,nyumba ya jirani yako ikiungua moto hautoenda kusaidia kuzima mpaka udai malipo kwanza. Kumbuka tuliamua kwenda kuwasaidia ndugu zetu wa Msumbiji baada ya kuona wareno wanashambulia mpaka Mtwara. Ulitaka wapige Dar ndio tustuke!. Nyerere alikuwa genious na hakungoja hayo yatokee.
 
TAFUTENI NAMNA NYINGINE YA KUSHUSHA HESHIMA YA MWALIMU........Si KWA VISA VYA KUTUNGA AMBAVYO UKIULIZA SANA NI WAWILI TU WALIOSIMULIANA NDO WANAJUA........!
ZAMA ZILE ZILIKUWA ZA UKOMBOZI WA BARA LA AFRICA...TULIKWENDA KUWAKOMBOA NDUGU ZETU...YEEEEES NDUGU ZETU

ndugu ma mathematics,una maana hatukwenda vitani? Au kutungwa kupi? Au mwl hakuwapokea wajeda Lugalo? Ulishaambia si kila kitu ni kubisha tu! Kipi chashusha heshima ya marehemu nyerere hapo?
 
Nakumbuka yule kijana aliyesimama na kumuuliza Mwalimu akitaka kujua kama tulienda kupigana Msumbiji kama Askari wa Kukodiwa na kama ni Askari wa kukodiwa tulipaswa kulipwa au tulienda kupigana Msumbiji kama ni Sehemu ya Tanzania, basi Tuonyeshwe mipaka ya Tanzania!
Hivi kumbe wanajeshi letu wanaruhusiwa kumhoji amiri jeshi mkuu wao? Nilikua sijui...
 
Mwaka 1975 Baada ya kurudi kutoka katika Vita vilivyomwondoa Mreno Msumbiji tulikusanyika pale Lugalo Jeshini ambapo Mwalimu JK Nyerere alikuja kutupongeza kwa Ushujaa uliomwondoa Mreno .
Katika Hitimisho lake Mwalimu akasema, Mashujaa Mmerejea tunawapokea kwa Shangwe na
HATUNA CHA KUWAPA, CHA KUWAPA NI ASANTE

Nakumbuka yule kijana aliyesimama na kumuuliza Mwalimu akitaka kujua kama tulienda kupigana Msumbiji kama Askari wa Kukodiwa na kama ni Askari wa kukodiwa tulipaswa kulipwa au tulienda kupigana Msumbiji kama ni Sehemu ya Tanzania, basi Tuonyeshwe mipaka ya Tanzania!

Huo ndio ulikuwa mwisho wa kumwona yule kijana mpaka leo na Wanajeshi wengine wakafyata japokuwa hakuwa amepanga peke yake kuuliza maswali yale!
Ndugu, mkuu, afande, mjeshi, mpiganaji... Heshima kwako!!! Hiyo hotuba ya Mwalimu lazima ilirekodiwa tunaweza kupata kanda zake? Halafu kwa heshima na taadhima, mwaga hapa ma-experience yako kwenye uwanja wa mapambano... Ha ha haaa! Mjeshi alienda Mozambique shingo upande..
 
haingii akilini kuona mtu aliyekwenda mstari wa mbele kulikomboa bara la afrika, tena enzi zile, bado atakuwa anajiuliza alienda msumbiji kupigana kama nani? tena, kama ilivyosemwa hapo juu, Ureno walikuwa wakishambulia sana maeneo ya kusini mwa nchi yetu. hata Edward Modlane, kiongozi wa kwanza wa Frelimo aliuawa Dar kwa bomu kwenye kifurushi/barua. hii inaonesha wazi kuwa uhuru wetu haungeweza kufurahiwa na watz kama afrika ingeendelea kuwa chini ya ukoloni, kama alivyosema mwalimu. haiyumkiniki kwa mpigani kudai alienda kule kama askari wa kukodiwa wakati yeye ameapa kuilinda tanzania na watu wake. mawili aidha hakupewa elimu ya kutosha au ni kilaza asiyeweza kufundishika hata afundishweje.
 
Hivi kumbe wanajeshi letu wanaruhusiwa kumhoji amiri jeshi mkuu wao? Nilikua sijui...

Hata nami pia hapo nilipashangaa kidogo.Sijapata kuona askali anahoji kamanda wake. Huyu labda alikuwa mgambo wa jiji wale wanaonyang'anya akinamama vitumbua na chai kisha wanakula wao.
 
Mwaka 1975 Baada ya kurudi kutoka katika Vita vilivyomwondoa Mreno Msumbiji tulikusanyika pale Lugalo Jeshini ambapo Mwalimu JK Nyerere alikuja kutupongeza kwa Ushujaa uliomwondoa Mreno .
Katika Hitimisho lake Mwalimu akasema, Mashujaa Mmerejea tunawapokea kwa Shangwe na
HATUNA CHA KUWAPA, CHA KUWAPA NI ASANTE

Nakumbuka yule kijana aliyesimama na kumuuliza Mwalimu akitaka kujua kama tulienda kupigana Msumbiji kama Askari wa Kukodiwa na kama ni Askari wa kukodiwa tulipaswa kulipwa au tulienda kupigana Msumbiji kama ni Sehemu ya Tanzania, basi Tuonyeshwe mipaka ya Tanzania!

Huo ndio ulikuwa mwisho wa kumwona yule kijana mpaka leo na Wanajeshi wengine wakafyata japokuwa hakuwa amepanga peke yake kuuliza maswali yale!

Hoja muflisi yenye hila ndani yake tena hila mbaya. Huu ni mkakati maalumu kwa malengo maalumu ukiwalenga watu maalumu. Thread hii inanuka harufu ileeeeeeeeeeeeeeee... Hebu linganisha na post hiyo hapo chini halafu changanya na zako kichwani. https://www.jamiiforums.com/habari-...faa-kuongoza-kizazi-cha-sasa.html#post2041679

Tena post zote za leo leo. Achana na hizo hadithi. Au ndio maandalizi ya "zamu yetu"?
 
Hata nami pia hapo nilipashangaa kidogo.Sijapata kuona askali anahoji kamanda wake. Huyu labda alikuwa mgambo wa jiji wale wanaonyang'anya akinamama vitumbua na chai kisha wanakula wao.

Hahahahaa.... Mtoa mada anyooshe kidogo maelezo hapo!..
 
Hahahahaa.... Mtoa mada anyooshe kidogo maelezo hapo!..
Mtoa mada ni FAKE!
Hakuwapo miaka ya 1975 wal hajui Tanzania ya 1975 ilikuwaje.
Mada aliyotoa inaelezea mawazo yake ambayo kimsingi ni mufilisi na basically anti -Mwalimu.
 
Julius alipenda sifa saaana za kimataifa, askari wengi walikufa msumbiji na mara tu ya uhuru wa Msumbiji wa tz walifukuzwa kule msumbiji. Maaskari wetu walisambazwa nchi nyingi kulinda vibaraka wake. Mfano obote
 
Mwaka 1975 Baada ya kurudi kutoka katika Vita vilivyomwondoa Mreno Msumbiji tulikusanyika pale Lugalo Jeshini ambapo Mwalimu JK Nyerere alikuja kutupongeza kwa Ushujaa uliomwondoa Mreno .
Katika Hitimisho lake Mwalimu akasema, Mashujaa Mmerejea tunawapokea kwa Shangwe na
HATUNA CHA KUWAPA, CHA KUWAPA NI ASANTE

Nakumbuka yule kijana aliyesimama na kumuuliza Mwalimu akitaka kujua kama tulienda kupigana Msumbiji kama Askari wa Kukodiwa na kama ni Askari wa kukodiwa tulipaswa kulipwa au tulienda kupigana Msumbiji kama ni Sehemu ya Tanzania, basi Tuonyeshwe mipaka ya Tanzania!

Huo ndio ulikuwa mwisho wa kumwona yule kijana mpaka leo na Wanajeshi wengine wakafyata japokuwa hakuwa amepanga peke yake kuuliza maswali yale![/QUOTE]

Staili ile ile anayotumia Gadafi. Kwa kuwa alimtangulia itakuwa alijifunza kwake.
 
Asante Mkuu Mahesabu!
Vijana wengi wala hawajui ukombozi wa bara la Afrika ni nini!
Wala hawajui kuwa it was a privilege to serve,nafasi za jeshi zilikuwa zinagombewa na watu hawakwenda Msumbiji tu, bali Zambia,South West Africa(Namibia),Seychelles, Afrika Kusini na sehemu nyingine barani Afrika.
Maswali ati "tulienda kupigania nini" ni maswali ya mgambo wa Jiji na nina uhakika huyu Amiliki amehadithiwa na nduguye ambaye ni mgambo au korokoroni.
koro what? teheeeeeee
 
jkn ni binadam km wengne,alikuwa na mapnguf yake,sijui kama kwasasa patokee mambo kama yale ya kina amin dada,na msumbiji hahahaa sijui ingekuwaje?nadhani sirikali ingechukua airforce one itokomee af tuliobaki kila mtu angechimba kaburi yake weeeab!hapa kunafurukuta huko tarime umeona juhud zozote za sirkali,zaid zaid mait zilitupwa na sirikali ilipata lunch na madiba ooops mh,......
 
nyerere alikuwa dikteta na wengi wapetoa si huyo tu. Mpaka alikuwa na sheria yake binafsi ya kumfunga mtu na hatolewi mpaka yeye ndiye aamuru.
 
Mwaka 1975 Baada ya kurudi kutoka katika Vita vilivyomwondoa Mreno Msumbiji tulikusanyika pale Lugalo Jeshini ambapo Mwalimu JK Nyerere alikuja kutupongeza kwa Ushujaa uliomwondoa Mreno .
Katika Hitimisho lake Mwalimu akasema, Mashujaa Mmerejea tunawapokea kwa Shangwe na
HATUNA CHA KUWAPA, CHA KUWAPA NI ASANTE

Nakumbuka yule kijana aliyesimama na kumuuliza Mwalimu akitaka kujua kama tulienda kupigana Msumbiji kama Askari wa Kukodiwa na kama ni Askari wa kukodiwa tulipaswa kulipwa au tulienda kupigana Msumbiji kama ni Sehemu ya Tanzania, basi Tuonyeshwe mipaka ya Tanzania!

Huo ndio ulikuwa mwisho wa kumwona yule kijana mpaka leo na Wanajeshi wengine wakafyata japokuwa hakuwa amepanga peke yake kuuliza maswali yale!

hilo tu ndo linakupa pressure tangu 1975? jibu ni kwamba tulienda kama waalikwa, sasa tulipwe nini wakati tumealikwa?
 
Hata nami pia hapo nilipashangaa kidogo.Sijapata kuona askali anahoji kamanda wake. Huyu labda alikuwa mgambo wa jiji wale wanaonyang'anya akinamama vitumbua na chai kisha wanakula wao.

huyu atakuwa "lamda" ni n'jukuu babu yake ndo alipigana enzi zileee za dawa ya penz asa yeye hakukopy vyema tehehehe!
 
nyerere alikuwa dikteta na wengi wapetoa si huyo tu. Mpaka alikuwa na sheria yake binafsi ya kumfunga mtu na hatolewi mpaka yeye ndiye aamuru.

Ndugu, kwa kipindi kile wakati wa Nyerere kumbuka bado watanzania wengi walikuwa "Wajinga" na kuruhusu Demokrasia ichukue mkondo wake ingekuwa kuwapatia nafasi mataifa ya Kimagharibi kwa wakati ule kuchomeka vibaraka wao. Kumbuka maadui wakubwa kwa wakati huo ni Ujinga, Maradhi na Umasikini.

Kwa mantiki hiyo basi, kuna mambo mengi sana ambayo Mwalimu aliyaweka Pending mpaka pale watanzania tutakapojitambua ili tuamue wenyewe mustakabali wa nchi yetu, kwa mfano sekta ya madini, nadhani haya madini tunayochimba sasa yangekuwa yameshamalizwa na yamebaki mahandaki tu kama Mwalimu angetaka, lakini hakujishughulisha nayo..

Hivyo naweza kusema kuwa lengo kuu la Mwalimu ilikuwa ni kutuongoza ili kuweza kujitambua na kisha tuweze kujifanyia maamuzi yenye manufaa.. Ndo maana akajipa uwezo wa kum-detain yeyote atakayempinga..

Kundi kubwa la viongozi wetu wa sasa ni wale waliokuwa target ya mwalimu kuwa watakuja kufanya maamuzi yenye kuijenga nchi, je kuna lenye manufaa waliloifanyia nchi yetu so far?
 
quote_icon.png
Originally Posted by FaizaFoxy
nyerere alikuwa dikteta na wengi wapetoa si huyo tu. Mpaka alikuwa na sheria yake binafsi ya kumfunga mtu na hatolewi mpaka yeye ndiye aamuru.

sijakusikia kabisa hapo nilipohilite

Mkuu, naona alimaanisha "na wengi wamepotea si huyo tu"
 
..Mwalimu Nyerere alikuwa Amiri Jeshi Mkuu kwa miaka zaidi ya 20. sasa mnategemea kusiwepo na matukio kama haya baina yake na askari aliokuwa akiwaongoza?

..siyo kitu kigeni kwa askari kwenda vitani halafu anaporudi nyumbani anahoji mamlaka zilizompeleka vitani. kuna watu kama John Kerry, seneta wa Marekani, ambaye alipigana vita Vietnam, lakini aliporudi aliamua kuzitupa medali alizopewa.

..zaidi ya majerahi ya kimwili wanayoyapata askari wanaokwenda vitani, yapo majeraha ya KISAIKOLOJIA hali ambayo inahitaji wataalamu waliobobea kuyatibu. kama tukio hilo ni la kweli inawezekana kabisa askari huyu alikuwa na matatizo ya kisaikolojia kutokana na matukio aliyoyaona ktk uwanja wa mapambano.

..la mwisho ni MAFAO na HESHIMA/RECOGNITION ambayo tumekuwa tukiwapa askari wetu waliotoka vitani. nadhani tuko mbali sana ktk masuala hayo mawili.

..the public needs to know more kuhusu ushiriki na mchango wa wanajeshi wetu ktk ukombozi wa bara la Afrika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom