Hii habari imeniacha Hoi bin Taabani, huyu jamaa analalama, alipewa muda bungeni hakuweza kuutumia , saa hizi asiwape watanzania hasira bure;
Tulifurahi pamoja, tukadhalilishwa, tukaonewa pamoja, sasa
Tulifurahi pamoja, tukadhalilishwa, tukaonewa pamoja, sasa