punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Ukweli ni huo kuwa ilikuwa makosa makubwa kuirudisha ccm madarakani wakati kulikuwa na fursa ya kuiweka pembeni... Na kwa nchi hii uchaguzi wowote unaoirudisha ccm madarakani itaendelea kuwa kitanzi bila kujali nani ni rais.Siku watanganyika watakapouweka madarakani utawala tofauti na ccm ndiyo siku watakuwa wamerudisha mikononi mwao madaraka ya kubadilisha serikali yoyote itakayoleta uhuni au itakayoshindwa kufikia matarajio ya wananchi. Raia wakiwa na uelewa/uwezo wa kuiweka ccm pembeni, serikali zote zitakazofata zitashika adabu na zitawajibika kwa wananchi.