Tulifanya kosa kumpa urais Mkapa

Lastname

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
922
296
Nasema hivi Augustino Lyatonga Mrema tungempa nchi 1995 sasa hivi kungekuwa na discipline kubwa sana. Yule babu anaonekana ana uchungu na nchi mengine ni ya kibinadamu kwa kweli. Mkapa hakustahili. Watanzania wenzangu nawashauri tubadirishe serikali inaniuma sana yaani matatizo yetu wanasema ni upepo wa kisiasa utapita???? can you imagine, sisi na matatizo yetu na rasilimali wanazotuibia eti ni upepo wa kisiasa.
 
kama angestahili si tungempa? au ndio tunakumbuka shuka asubuhi!!!?
mh mkapa he was the right man na haya unayoyaona sasa ni mapinduzi dunia nzima
ambapo watu wamefunguka kutaka kujua ukweli, inahitaji mtu madhubuti( hekima nyingi,with elements za udikteta, na kukubalika na watu wengi na si ushabiki) kuongoza nchi yetu kwa sasa
la sivyo mgawanyo mkubwa wa watz unakaribia. God forbid
 
He wasn't, sera yake ya ubinafsishaji imekuwa ni kichaka cha ufisadi tz. Alijinufaisha yeye na sumaye tu unakumbuka wananchi walikuwa hawamtaki sumaye kwa kuwa hakuwa muadilifu lakini alimg'ang'ania mpaka mwisho na yeye akaja akajichafua. leo hii ukienda mtibwa na turiani mkapa na rafiki yake sumaye wana mashamba kama vijiji
 
No matter what, I still believe on Mkapa's capacity. Hv kwa khali ya mashirika ilivyokuwa yalikuwa yakisurvive kwa ruzuku ya serikali.mishahara ilikuwa 3yrs watu hawajapata mishahara. Serikali haipati kodi unadhani yangekuwa wapi leo hiii??

Na hayo mnayosema yalikuwa yanaenda vizuri mlitaka nayo yaishe ndo tukumbuke kubinafsisha?? Nadhani we need to use our common sence to analyse situations badala ya kupiga kelele. Hembu advise mlitaka afanyeje??
 
Nasema hivi Augustino Lyatonga Mrema tungempa nchi 1995 sasa hivi kungekuwa na discipline kubwa sana. Yule babu anaonekana ana uchungu na nchi mengine ni ya kibinadamu kwa kweli. Mkapa hakustahili. Watanzania wenzangu nawashauri tubadirishe serikali inaniuma sana yaani matatizo yetu wanasema ni upepo wa kisiasa utapita???? can you imagine, sisi na matatizo yetu na rasilimali wanazotuibia eti ni upepo wa kisiasa.

Nyerere ndio alisababisha haya!
 
kama angestahili si tungempa? au ndio tunakumbuka shuka asubuhi!!!?
mh mkapa he was the right man na haya unayoyaona sasa ni mapinduzi dunia nzima
ambapo watu wamefunguka kutaka kujua ukweli, inahitaji mtu madhubuti( hekima nyingi,with elements za udikteta, na kukubalika na watu wengi na si ushabiki) kuongoza nchi yetu kwa sasa
la sivyo mgawanyo mkubwa wa watz unakaribia. God forbid

Yani kuwaibia wananchi kodi zao ni dunia nzima? haya ndugu!
Endeleeni basai tutaona mwisho wake!
 
No matter what, I still believe on Mkapa's capacity. Hv kwa khali ya mashirika ilivyokuwa yalikuwa yakisurvive kwa ruzuku ya serikali.mishahara ilikuwa 3yrs watu hawajapata mishahara. Serikali haipati kodi unadhani yangekuwa wapi leo hiii?? Na hayo mnayosema yalikuwa yanaenda vizuri mlitaka nayo yaishe ndo tukumbuke kubinafsisha?? Nadhani we need to use our common sence to analyse situations badala ya kupiga kelele. Hembu advise mlitaka afanyeje??

Kweli wewe popompo, yani hujuhi ni kwanini yalitokea hayo?
Huoni tofauti ya wakati huo na sasa serekali inavyoendeshwa, Nakwa taarifa yako mukiendelea hivi hivi kwa miaka 10 ijayo na baadhi ya wizara mta taifisha kwa kuw atu ni wavivu wa kufikiri na kujua mmekosea wapi.
Naomba nikunongoneze kuwa dawa ya mashirika wakati huo ilikuwa ni ACOUNTABILITY amabyo haikuwepo na kulikuwa hakuna wa kusisimamaia hilo kwa kuwa tu, mashirika yalikuwa yakiendeshwa kichama chama.
 
Ndiye baba wa ufisadi huu tulionao tokana na malezi yake.

Ukweli ndio huo, huyu mzee alikuwa nanhuruma sana, yani hana tofauti na kikwete alivyo, kulikuwa kuna kuchekeana sana alianzisha mashirika mengi watu wakawa wanaiba yeye ana wachekea, alitakiwa AWA WAJIBISHE ipasavyo sikumbuki kama alisha wahi kuchukua maaamuzi magumu zidi ya waliokuwa vio0ngozi wa mashirika, tena mfano wa karibu ni SUKITA.
 
Nasema hivi Augustino Lyatonga Mrema tungempa nchi 1995 sasa hivi kungekuwa na discipline kubwa sana. Yule babu anaonekana ana uchungu na nchi mengine ni ya kibinadamu kwa kweli. Mkapa hakustahili. Watanzania wenzangu nawashauri tubadirishe serikali inaniuma sana yaani matatizo yetu wanasema ni upepo wa kisiasa utapita???? can you imagine, sisi na matatizo yetu na rasilimali wanazotuibia eti ni upepo wa kisiasa.

- Eti did I read it right, kwamba tulifanya makosa kumpa urais ni kweli wewe na mimi ndio tuliompa huo urais? Just curious!

Es!
 
Huyu Mkapa kwawakati huo ukijumlisha na vihoja vyakeanavyofana sasa utagundua waliomchagua walifanya makosa makubwa ambayo yanaonekana wazi, mkapa bila karatasi huwa ni mtu wa kuropoka bila kujali anachonena, tuliyaona igunga, Arumeru aliyoyafanya [ONLY GOD KNOWS] Aibu alizopata hadhi yake ya kuitwa Rais mstaafu haipo tena imekwenda na maji. Mkapa na wewe tunasubiri urudishe kadi ya CCM na hatutakupokea.
 
No matter what, I still believe on Mkapa's capacity. Hv kwa khali ya mashirika ilivyokuwa yalikuwa yakisurvive kwa ruzuku ya serikali.mishahara ilikuwa 3yrs watu hawajapata mishahara. Serikali haipati kodi unadhani yangekuwa wapi leo hiii??

Na hayo mnayosema yalikuwa yanaenda vizuri mlitaka nayo yaishe ndo tukumbuke kubinafsisha?? Nadhani we need to use our common sence to analyse situations badala ya kupiga kelele. Hembu advise mlitaka afanyeje??

Mkapa huenda alikuwa ni 'right person' kwa kipindi kile baada ya kuwa na hali ngumu ya maisha. Serikali inakopa tu huku na huku na chachu ya uchumi haipo. Kama mlihudhuria au kuona kwenye TV mdahalo wa siku ya kigoda cha Mwalimu Nyerere, kwa maneno unashawishika kama Mkapa anao uwezo wa kiuchumi wa kujitahidi katika kuielekeza TZ mahala fulani. Anao mwono wa nini kifanyike. Tatizo la Mkapa ni Mkali mno kiasi kwamba wenye mawazo wanaseza kusita kusema wakihofia kufokewa. Kwa sera ya kubinafsisha kuna madudu ndiyo lakini hakukuwa na njia ya kutoka pale, tayari kulikuwa na makosa ya kiutawala katika kila sekta inayotuhusu utadhani waliowekwa katika mashirika yale walikuwa wamerogwa. Siwezi kusahau jinsi ATC ilivyokuwa inafika Ujerumani (enzi hizo Boeng 737) nzuri kweli kweli halafu wanaamua kwenda kukaa mahotelini marubani na maafisa wa ndege halafu abiria wanafika wanakuta kibao tu kwamba safari imefutwa. Hata wakaandika katika vitabu vya 'tourists guide' kuwa 'never board ATC, always delay, always cancellation' wakati huo huyu NUNDU alikuwa mshirika katika ufundi wa ATC oneni CV yake.

Kwa upande mwingine na sisi wa-tz tujaribu kuwa wakali katika kurasimisha ardhi tulizo nazo vijijini ili tuzitumie kuomba mikopo benki na tuanzishe ujasiriamali kuweza kuajiri wenzetu (yaani wa bongo wanaowakilishwa kwenye bendera ya taifa kwa maana wengine hawamo - zijue vizuri rangi za bendera yetu na maana yake. Mi ninachojua ni kwamba rangi nyeusi ndiyo inayowakilisha watu wa nchi hii kwa hiyo kama wengine wamo ni waliodandia basi lisilolao ila kwa sababu linasafiri basi watakuwemo tu...ila si wakugawiwa viwanda vyetu kama inavyofanywa sasa n.k)

Baada ya Mkapa angekuwa Salimu Ahmed Salimu akahujumiwa na wazanzibari wanaowakilishwa kwenye bendera ya nchi yetu...akaingia mheshimiwa mwenzetu...ndipo balaa likawa kubwa zaidi...mfumko tusisingizie mtikisiko wa uchumi kuna shida katika serikali yetu na katika maisha yetu sisi wabongo...tulione hili na tulifanyie kazi.

Way forward: Kila mtanzania alipo akatae kwa nguvu zake zote kutoa rushwa kwa yeyote hata hospitalini, bora kufa ili vizazi vijavyo vikute Tanzania nzuri, kila mtanzania atumie sanduku la kupigia kura na kulinda kura kwa kumchagua anayeona anasifa za kutokuwa fisadi, na kila mtanzania anyanyuke bila woga na kusema popote atakapoona ufisadi hata kama ni serikalini, shirika la umma, kanisani, msikitini, dukani kwako, uwanja wa mpira, darasani n.k Tutafika kama tukiamka, tukiendelea kulala tutaamka tukiwa hatuna Tanzania bali wakimbizi wa ndani ya Tanzania. Viva M4C
 
Huyu Mkapa kwawakati huo ukijumlisha na vihoja vyakeanavyofana sasa utagundua waliomchagua walifanya makosa makubwa ambayo yanaonekana wazi, mkapa bila karatasi huwa ni mtu wa kuropoka bila kujali anachonena, tuliyaona igunga, Arumeru aliyoyafanya [ONLY GOD KNOWS] Aibu alizopata hadhi yake ya kuitwa Rais mstaafu haipo tena imekwenda na maji. Mkapa na wewe tunasubiri urudishe kadi ya CCM na hatutakupokea.

Arudishe kadiii, au ajibu shutuma zote za ufisadi na mauaji ikibidi aende the Hague; mwembe chai, zenji. Meremeta, iptl,kiwira, na ubinafsihaji kwa makaburu kwa ujumla, tutajua yote tuu, taratibu. Hivi Mheshimiwa Vicent mzima, Tanzania hii, tema mate chini
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom