Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 922
- 296
Nasema hivi Augustino Lyatonga Mrema tungempa nchi 1995 sasa hivi kungekuwa na discipline kubwa sana. Yule babu anaonekana ana uchungu na nchi mengine ni ya kibinadamu kwa kweli. Mkapa hakustahili. Watanzania wenzangu nawashauri tubadirishe serikali inaniuma sana yaani matatizo yetu wanasema ni upepo wa kisiasa utapita???? can you imagine, sisi na matatizo yetu na rasilimali wanazotuibia eti ni upepo wa kisiasa.