nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Waraka huu ni hatari tena unaonyesha wazi hawa ndugu zetu wameamua kuucha mziki huu uliopigwa sana 2010 na CCM,walitaadharishwa juu ya maneno yao leo wanahangaika kuuzima huu muziki inashindikana,kwa waraka huu tunasemaje juu ya hatma ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania?.walishabikia sana walifikiri watu wameweka pamba masikioni leo wanawaambia watawala ila sauti nzuri ya ule muziki tunaurudia kwa nguvu sana.
Waraka huu unasikitisha na kwa kweli laiti wachochezi wa masuala ya kidini wangejua yatakayotokea wasingfanya hivyo.
Waraka huu unasikitisha na kwa kweli laiti wachochezi wa masuala ya kidini wangejua yatakayotokea wasingfanya hivyo.