Kijani na manjano mpya kaahidi atawasaidia watu mahesabu waweze kusoma namba, kama watakuwa na majipu atajitolea kuwatumbua, atawafanya walime kwa "matrekta" na kuishi kama "malaika".
Uliza mtaani kama walio wengi hawajapata hayo mafanikio, tena kwa mwendokasi.
Maisha ya sasa yamekuwa yale yanayoahidiwa kwenye vitabu vya dini. Maisha bora kama ya peponi (mbinguni).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.