Tukumbushie kidogo misosi ya kwetu

Ulimakafu

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
28,903
10,534
Mi ukiniwekea ugali wa muhogo na mlenda nishushie na togwa,mbona unakuwa umenikumbusha mbali.
 
Samaki aina ya mbasa na mayai yake,ndizi za kuchoma na maparachichi.(hiyo ni full breakfast)
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom