Bakari hodari, kaenda safari, kamkuta kimamba ktk .............
Bakari hodari kaenda safari yoh,
Katika safari kashinda hatari yoh,
Mama yake Bakari kapata habari yoh,
Kasema hodari mwanangu Bakari yoh,
Tunajua ya kwamba atajigamba kumpiga kimamba yoh...
If kantai can tie a tie and untie a tie why cant i tie a tie and untie a tie...malizia
Why cant I tie a tie and untie a tie as Kantai?
Karudi baba mmoja toka safari ya mbali,kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili. Watoto wake wakaja ili kumtaka hali, wakataka na kauli iwafae maishani. Akajibu mgonjwa ninaumwa kwelikweli,hata kama nikichanjwa haitoki homa kali. MEMBER MWINGINE AENDELEZE
Saa ya babu mzee yaenda vizur sasa ni miaka sitini na saba .. Nimesahau.[/QU
aaaaahahahahaaaaa,umenikumbusha mbali sana mkuu,kama we siyo kayumba huelewi kitu apa! What a living memory!
duh!umenifungulia folder la zamani sana kwenye brain.ok lets go...-Saa ya babu mzee yaenda vizur sasa ni miaka sitini na saba .. Nimesahau.
Bakari hodari kaenda safari yoh,
Katika safari kashinda hatari yoh,
Mama yake Bakari kapata habari yoh,
Kasema hodari mwanangu Bakari yoh,
Tunajua ya kwamba atajigamba kumpiga kimamba yoh...
Bakari hodari kaenda safari yoh,
Katika safari kashinda hatari yoh,
Mama yake Bakari kapata habari yoh,
Kasema hodari mwanangu Bakari yoh,
Tunajua ya kwamba atajigamba kumpiga kimamba yoh...