Asha mwanaSeif niambie mpenzi wangu,imekuwaje leo mama uko kimya hivyo,ni lipi jambo limekuudhi nieleze leo,sema Asha seema mpenzi wangu kama mimi nimekuudhi unieleze
Nashukuru mume wangu kwa kuniuliza ooh,unakunywa pombe huonekani mpaka siku tatu,nachekwa na wenzangu,watoto wanateseka,hata huruma huna kwa hawa malaika, nachekwa na wenzangu,watoto wanateseka,hata huruma huna kwa hawa malaika
Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama Maika), Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto
(TX) Aa mama,nimekubali maneno yako mama(ooh mama) wakale walisema mjinga kwa kwenda kwa kurudi anajuaa,pabaya na pazuri lelele
Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama Maika), Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto
(Mbwembwe) Natubu mbele yako hata kwa hawa malaika,unisamehe Duniani hata mbinguni,nasema
Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama Maika), Ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto
Kaka unatisha si kidogo,nimekuvulia kofia,au mwenzetu unakachip kwenye head,ha ha ha ha.
''...nainua mkono mamaaaa.........KITAMBAA CHEUPEEEEEEEKing Kikiii _ Kitambaa cheupe ( Zipola)
i love this song wapendwa duh
Wewe Mkali........!
Ukweli ni kwamba mimi ni mpenzi sana wa muziki wetu wa Dansi na kwenye Music library yangu nina hazina /miziki si haba..Naisikiliza kila siku hii
siweeeeeeeeeeeeemaaaaa usinipeeeeeeeeeeeeeeee MATESO YA MOOOYOOOOOOOOOO!siwema
Mkuu lyrics hizi hapa
1.Sauda
Sauda,Sauda oooh,Sauda dada
Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni,
Mioyo tusibadili wangu kipenzi dada tuepuke ushauri
Kwa mahasidi wa penzi ooh Sauda kwa mahasidi wa penzi mama ooh Sauda
Tangu tuwe wapenzi tumependana kikweli pendo letu la moyoni,
Mioyo tusibadili wangu kipenzi dada tuepuke ushauri
Kwa mahasidi wa penzi ooh Sauda kwa mahasidi wa penzi mama ooh Sauda
Sauda ooooh mama,Sauda ooooh mamaaa
Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe
Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe
(Gurumo) Duniani kuna mengi sawasawa na bahari,kuna papa na nyangumi tena wale wa hatri,hawapendi kuiona meli yetu baharini watafanya kila njia waifupishe safari
Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe
Mv Mapenzi meli ya wapendwa nao,moyo kama bahari manahodha mimi na wewe
(Gurumo) Duniani kuna mengi sawasawa na bahari,kuna papa na nyangumi tena wale wa hatri,hawapendi kuiona meli yetu baharini watafanya kila njia waifupishe safari Sauda eeh
2.Kesi ya Khanga(Monica)-ZAITA Musica
Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee
Mama nipe nauli nikamfuate Monika ee,amekimbilia Zambia na treni ya mizigo ee,kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti kumi za khanga alizokopa hajalipa ee,anatafutwa na Polisi popote hapatikani,na mimi rafiki yake nipo nje kwa mdhamana ee,nililala rumande siku mbili kituoni,usumbufu nilioupata kwa kweli sina raha ee
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh
Mahakamani wameshapanga siku ya kusikiliza kesi,asipokuja nitapelekwa jela kutumikia kifungo,ee Monika eeeh uko wapi ee,Monika eeh
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi
Naona bora niende Zambia nikamtafute Monika,nimlete Daresalama apambane na kesi yake,e Monika eeh uko wapi eeeeh
Ukweli ni kwamba mimi ni mpenzi sana wa muziki wetu wa Dansi na kwenye Music library yangu nina hazina /miziki si haba..Naisikiliza kila siku hii
[...
Duniani kuna mengi sawa sawa na bahari kuna papa na nyangumi tena wale wa hatari hawapendi kuiona meli yetu bahari
asha mwanaseif niambie mpenzi wangu,imekuwaje leo mama uko kimya hivyo,ni lipi jambo limekuudhi nieleze leo,sema asha seema mpenzi wangu kama mimi nimekuudhi unieleze
nashukuru mume wangu kwa kuniuliza ooh,unakunywa pombe huonekani mpaka siku tatu,nachekwa na wenzangu,watoto wanateseka,hata huruma huna kwa hawa malaika, nachekwa na wenzangu,watoto wanateseka,hata huruma huna kwa hawa malaika
ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama maika), ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto
(tx) aa mama,nimekubali maneno yako mama(ooh mama) wakale walisema mjinga kwa kwenda kwa kurudi anajuaa,pabaya na pazuri lelele
ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama maika), ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto
(mbwembwe) natubu mbele yako hata kwa hawa malaika,unisamehe duniani hata mbinguni,nasema
ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto(mama maika), ulevi ulio nao bwana unanitia aibu,huna mapenzi oo kwangu mimi na watoto
Lakini mwanakijiji mbona unataka zenye majina ya kike tu
hata hivyo nyimbo nyingi nzuri zinawaimba wa-kike!...nilijua tu huwezi kuniachia..!!!!