kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Riwaya ya KULI inasisimua na kutia majonzi sana, kwa jinsi makuli walivyokuwa wanafanyiwa na wanyapara wao.
UCHUNGU SANa
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
mizambwa napenda kuli pale mwisho wa kitabu yaaaani unasoma kuanzia mwanzo ukifika mwisho unakutana na usemi huu "yana mwisho haya"