TUKUMBUSHANE:- Nyimbo za harusini za makabila mbalimbali

Duh, afadhali umenipa tafsiri. Yaani nasuuzika, kasheshe yake style ya kucheza na ule mchuchumio. Nikahisi maana ya wimbo ni 'miguu inauma lakini siachi kucheza'

kwa kweli napenda sana nyimbo za makabila. Kuna mwingine 'naloli naloli weeh naloli, nalolinaloli' lol.
hahahah...hujakosea sana unaitwa "Abalindwana"
Abalindwana bha Jerusalem,
Abalindwana bha Jerusalem bhikundilila Jesu

maana yake Wanawake au kinamama wa Yerusalem wanamlilia Yesu...ni wakati ule wa mateso ya Yesu wakati akipelekw Goligotha.
 
Yaani zingenogaje? Nasoma hapa nyimbo zenu im trying to make a tune. BAK best, unaweza kutumiwa kwa email ya jf ukatuwekea? Tukajiburudani kidogo. Najua you can do your magic.
King'asi na BAK, hizo nyimbo za kingoni mi ninazo ila sijui jinsi ya kuziweka kwa u-tube kina Platozoom na Bishanga wasikilize wajifunze kutoka kwetu sisi wafalme wao!
 
Last edited by a moderator:
Akanana akanana kaile kona
kaile akaile nkanula

omwana omwana Madame B, aile alie na.................. Nula....

Omwana omwana Madame B aile,aile......... Na nula
hizi zilisha expaya nakumbuka zilikuwa maarufu nilpokuwa daras la pili miaka hiyo!!
 
Humu jamvini wajukuu zetu Wapogoro mpooo na ile ngoma yenu mnayocheza kama mnang'atwa na siafu, sijui sangura!!!
 
Yaani zingenogaje? Nasoma hapa nyimbo zenu im trying to make a tune. BAK best, unaweza kutumiwa kwa email ya jf ukatuwekea? Tukajiburudani kidogo. Najua you can do your magic.

niambie nimtumie nani? Natamani Tanzania nzima iwe ya Wangoni, ila Wamakonde NO!!! wabaki na umakonde wao!!
 
Kuna nyimbo za wagweno, najua hapo nawaacha. Moja hii:
ooh rughu yakwa, nie na ie? (anauliza ndizi yangu nile na nani?)
ooh kindo na nyika, nie na ie?
 
Hahaha, wamakonde naskia wazuri sana, wanakula watu wa kuchoma lol!
Ngoja BAK akuje manake hapa mie typist wake tu, sina maujanja.
niambie nimtumie nani? Natamani Tanzania nzima iwe ya Wangoni, ila Wamakonde NO!!! wabaki na umakonde wao!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa ushahidi huu basi na kubali hila ule msemo wa samaki mmoja akioza wote wameoza naomba usiizingatie maana kama mimi tangia nianze kuhudhuria harusi zetu zime kuwa ziki changamka sana hasa kwenye ngoma sema kuna muda maalum wa kucheza ngoma.

NB: si vuti kamba popote!

last weekend kulikuwa na sendoff pale Istana, husband akaniambia vipi................. nikamwambia ya wahaya, hapana. sababu yeye ilikuwa ni ya mtu wanayeheshimiana sana akaenda, akamwambia katokea job na mimi nilikuwa busy sana sikuweza hudhuria. kafika kule ananitext naomba uniwekee msosi maana ntatoka soon, nasinzia tu.......... yaani kama walikuwa kikaoni, lol!
 
Kwa ushahidi huu basi na kubali hila ule msemo wa samaki mmoja akioza wote wameoza naomba usiizingatie maana kama mimi tangia nianze kuhudhuria harusi zetu zime kuwa ziki changamka sana hasa kwenye ngoma sema kuna muda maalum wa kucheza ngoma.

NB: si vuti kamba popote!
mara ya mwisho umeudhuria lini?
 
mara ya mwisho umeudhuria lini?

Mwezi wa 8 nilikuwa kwenye harusi ya dada yangu na kwenye send off kwa kweli harusi tuliipendezesha na wakadhani sisi ndio tuna oa! Usiulize kwenye send off maana kwa kweli ilikuwa bab kubwa!
 
kuna moja kali sana, Jamaa anauliza pombe na soda kizuri nin? wenyewe tunajibu mzuri ughimbi !!!daah watu8 ulifikiria nini kuanzisha huu uzi?

mkuu uzi huu umeanzishwa na Bujibuji, mi nikawa natupia tu nyimbo ninazozifahamu....utakuwa umekumbuka mbali sana bila shaka
 
Last edited by a moderator:
Duh, afadhali umenipa tafsiri. Yaani nasuuzika, kasheshe yake style ya kucheza na ule mchuchumio. Nikahisi maana ya wimbo ni 'miguu inauma lakini siachi kucheza'

kwa kweli napenda sana nyimbo za makabila. Kuna mwingine 'naloli naloli weeh naloli, nalolinaloli' lol.

hahahah nina shaka wewe ni Mnyaki sema lugha inakupiga chenga...
"Naloli" maana yake" Ni kweli"
 
Kuna nyimbo za wagweno, najua hapo nawaacha. Moja hii:
ooh rughu yakwa, nie na ie? (anauliza ndizi yangu nile na nani?)
ooh kindo na nyika, nie na ie?

Hahahahahah! Hiyo ndiziii!! Hahah Ngoja Mmawia Lara1 aje akusaidie kuimega!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom