tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
hyo ni b4 2000, toka ndani ya bongo, nje ya bongo, mwaka 2000 akaja na milenia, then muziki na maisha 2001. Hakuna tape ya sugu iliyonipita, lakini muzik na maisha naikubali mpaka leo.Enzi zangu ni za Ndani ya bongo wa Mr 2 a.k.a Sugu!