Tukumbushane kidogo: Wanasiasa maarufu waliopata kubwagwa ubunge

nafikiri kali iliyomshtua kila mtu ni kijana aliyekuwa hajulikani kwa kiwango chochote (wakati huo) paschal mabiti alipomwangusha mwansiasa maarufu na mkongwe nchini aliyejulikana pengine zaidi ya wote kutoka kanda ya ziwa kwa sifa na umahiri kem kem ndani na nje ya nchi (wakati huo) paul bomani (RIP) mwanza mjini (mwaka sina hakika).

off point;
rekodi ya fitina kubwa zaidi ya kisiasa katika kuwania ubunge nchini iliwekwa na jaji joseph warioba mwaka 1990 (akiwa anamalizia malizia uwaziri mkuu wa kipindi cha kwanza cha rais mstaafu mwinyi) dhidi ya manyama mkondya katika jimbo la bunda mkoani mara.
 
<font size="3">Huyu jamaa (Pawa Semindu Pawa) alikuwa very talkactive! ndani, na nje ya Bunge.</font>
<br />
<br />
Ya ndani ya bunge enzi hizo ulijuaje? Ktk list Vedastus Mathayo Manyinyi, Ibrahim Marwa, Paul Ndobo-Msm vijijin, Mgana Msindai-singida mashariki, Dr. James wanyancha-serengeti, Bujiku Sakila, Leonard Derefa-shinyanga, Dr. Deogratius Maro, Mwera wa Tarime, Dr. Amani Kabour, Anthony Diallo, Omary Kizango, William Shelukindo, Mwantumu Mahiza etc WASISAULIKE!
 
nafikiri kali iliyomshtua kila mtu ni kijana aliyekuwa hajulikani kwa kiwango chochote (wakati huo) paschal mabiti alipomwangusha mwansiasa maarufu na mkongwe nchini aliyejulikana pengine zaidi ya wote kutoka kanda ya ziwa kwa sifa na umahiri kem kem ndani na nje ya nchi (wakati huo) paul bomani (RIP) mwanza mjini (mwaka sina hakika). &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;u&gt;off point;&lt;br /&gt;<br />
&lt;/u&gt;rekodi ya fitina kubwa zaidi ya kisiasa katika kuwania ubunge nchini iliwekwa na jaji joseph warioba mwaka 1990 (akiwa anamalizia malizia uwaziri mkuu wa kipindi cha kwanza cha rais mstaafu mwinyi) dhidi ya manyama mkondya katika jimbo la bunda mkoani mara.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Duh! Huyu Paschal Mabiti mkuu wa wilaya? Paulo Bomani alikuwa jembe haswaa, katika kamati rasmi iliyotunga katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ya 1977 jamaa alikuwa memba muhimu sana. Pia ni moja ya wanasheria wachache sana waliotamba na Law firms enzi hizo, yake ikiundwa na Yeye mwenyewe (Paulo Bomani), Joseph sinde Walioba na Jaji Francis Nyarali..
 
Kuna huyu Mama Monika Mbega-Iringa mjini pia alikuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjoro! (2010) alipigwa chini na mchungaji msigwa! Hv huyu mama jamani bado mkuu wa mkoa tu?
 
Paulo Bomani alikuwa jembe haswaa, katika kamati rasmi iliyotunga katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ya 1977 jamaa alikuwa memba muhimu sana. Pia ni moja ya wanasheria wachache sana waliotamba na Law firms enzi hizo, yake ikiundwa na Yeye mwenyewe (Paulo Bomani), Joseph sinde Walioba na Jaji Francis Nyarali..

Paulo hakuwa lawyer. Lawyer ni mdogo wake Mark Bomani aliyewahi kuwa Attorney general.
 
Duh! Huyu Paschal Mabiti mkuu wa wilaya? Paulo Bomani alikuwa jembe haswaa, katika kamati rasmi iliyotunga katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ya 1977 jamaa alikuwa memba muhimu sana. Pia ni moja ya wanasheria wachache sana waliotamba na Law firms enzi hizo, yake ikiundwa na Yeye mwenyewe (Paulo Bomani), Joseph sinde Walioba na Jaji Francis Nyarali..

yap, huyu huyu!! tena wakati anambwaga mzee bomani (rip) kama kuna mahali alikuwa akijulikana basi ni kwenye tawi lake tu! nakwambia kwa kila aliyesikia habari hii yalikuwa ni maajabu kaka!!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Duh! Huyu Paschal Mabiti mkuu wa wilaya? Paulo Bomani alikuwa jembe haswaa, katika kamati rasmi iliyotunga katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tz ya 1977 jamaa alikuwa memba muhimu sana. Pia ni moja ya wanasheria wachache sana waliotamba na Law firms enzi hizo, yake ikiundwa na Yeye mwenyewe (Paulo Bomani), Joseph sinde Walioba na Jaji Francis Nyarali..

Utakuwa umemchanganya na mdogo wake Mark Bomani huyu ndo mwanasheria na ndo mwanasheria wa kwanza wa serikali mtanzania, Miss Judith atakuwa anamwongelea Paul Bomani ambaye ni kaka yake na Mark, Sifa kubwa ya Paul ni miongoni mwa wanaushirika wa kwanza kabisa na alishawahi kuwa mbunge wa Mwanza mjini na waziri wa wizara kadhaa sizikumbuki majina na aliwahi kuwa balozi na mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam hadi kifo chake, nakumbuka tulimuaga Nkurumah hall, Mungu amulaze mahali pema peponi ndugu Paul kwa watu wa Mwanza anajulikana kama Kishamapanda.
 
timothy shindika- Buchosa
Daniel Makanga - bariadi magharibi
pius mwandu- Maswa magharibi
 
KUWAYAWAYA STEPHEN KUWAYAWAYA.STEPHEN NANDONDE Hansard inarekod ya hy jamaa kutaka mikoa ya kusin ijitenge na kumegekea mozambq.he meant it. sijui yupo but aliumwa na akapoteza nuru na huwez amin alikaa kijij in povertz
 
..mtikisiko wa kwanza ni kushindwa kwa PAUL BOMANI.

..halafu kulikuwa na vita ya kumtosa Leons Ngalai jimbo la Rombo.

..mtikisiko wa kugombea ubunge kati ya Mama Martha Wejja vs Kitwana Kondo.

..halafu ile kesi ya uchaguzi iliyopelekea Sebastian Rukiiza Kinyondo kutinga bungeni.

..bila kusahau Joseph Sinde Warioba aliposhindwa na Stephen Wassira.
 
Daniel Nsanzugwako Kigoma,pia Senyagwa ambae kwa sasa ni Choka mbaya alidondoshwa na huyu Naibu Speaker Ndugai jimbo la Kongwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom