Tukumbushane: Hivi kwanini Nyerere alikataa J. S. Malecela asigombee urais kupitia CCM

- Kwa hiyo unanishauri nisimjadili nikuachie is that right? Nitakuachia kama ndivyo unavyotaka au?

Willie @ NYc, USA.
Kwanza unge-declare kwamba mimi Mtoto wa Agwe Jumanne alias John Malecela naomba kutoa utetezi huu na ule! kama wanavyofanya mabunge yaliyoendelea sio letu la pale Idodomya! sawa? nakufundisha siasa hapa!
 
Kwanza unge-declare kwamba mimi Mtoto wa Agwe Jumanne alias John Malecela naomba kutoa utetezi huu na ule! kama wanavyofanya mabunge yaliyoendelea sio letu la pale Idodomya! sawa? nakufundisha siasa hapa!

- Sikujua kwamba ninawatesa namna hii, haya ngoja niondoke mbaki wenyewe mnaofanana mawazo!

Willie @ NYC, USA.
 
Huyu jamaa mmoja mwenye udhubutu wa kuandika jina lake na maoni anabishana na a bunch of cowards behind fake names
avatar39777_1.gif
avatar39269_1.gif
avatar20833_5.gif
avatar42998_1.gif

Mkuu unaanza kuita wanaJF a bunch of cowards? I think that this a reaction comes as a defence mechanism from people who really can't face the truth. I remember when I was younger being around my mun's friends and I would be watching listening the news about poverty and one particular woman would always change the story. She just didn't want to face what is even accepted as going on, never mind the true horror of it all.

But you know it's strange, I've never felt more at peace with myself than when I began to see past the lies despite the true horror of what's going on. Some people won't watch animal rights stuff because they want to keep on eating meat.
 
- Sikujua kwamba ninawatesa namna hii, haya ngoja niondoke mbaki wenyewe mnaofanana mawazo!

Willie @ NYC, USA.
Hiyo ni moral obligation, ndo mana kuna conflict of Interest clauses hata mabungeni! huwa wanatakiwa ku-state masilahi yao kwenye isssue zinazowagusa kwa namna moja au nyingine!
 
Mkuu wakati unajiunga na JF uliyasema haya.



Lakini leo mkuu unaanza kuita wanaJF a bunch of cowards? I think that this a reaction comes as a defence mechanism from people who really can't face the truth.
Achana nae huyo William Malecela amekosa hoja nimemuambia sababu ni serikali ya kidhalimu yenye kuwinda wale woote wa Upinzani kwa hiyo sisi tutabaki tukijificha hivihivi mpk siku kutapokuwa na demokrasia ya kweli na si visasi!
 
Asante Arafat;

Tuseme ukweli Malecela alikuwa na nguvu sana serikalini hata kwenye chama kiasi kwamba hata Nyerere alimwogopa, alikuwa amewashika karibu wakuu wote wa mikoa na wilaya na kwa vyovyote vile bila Mwalimu huyu jamaa angekuwa rais hakuna ambaye angemzuia. Ukimtoa Malecela Mwaka 1995 rais alikuwa awe Kikwete ila Mwl hakumtaka kwa sababu zake na endapo Mwl angekuwepo 2005 Kikwete asingekuwa rais leo.

Tofauti ya Kikwete na Malecela, Kikwete ni mjanja baada ya kuukosa kosa urais wa 1995 alijua hawezi kujilinganisha na Malecela kiuwezo (lobbying, pesa you name it) akalazimika kuingia alliance na EL pia akawa mtiifu mzuri kwa Mkapa wakati huo rais ili njia iwe nyepesi come 2005, Malecela akaendelea kujiimarisha kwa watendaji wa mikoa na wilaya akasahau kuwa sauti kubwa iko CC ambayo ilikuwa imekamatwa na Boyz 2 Men mbali ya Malecela kutembeza pesa kwa wajumbe kama ulivyosema lakini akaja kunyang'anywa tonge mdomoni na CC tena kwa aibu.

Tatizo lake lobbying anaijua lakini ni jeuri less care hajui kuinama kwa wadogo he is not flexible rigid alichoamua no one can bend him hilo ndilo haswa tatizo ambalo tungelipata kama angeshika urais sijui kama Mwl naye aliona tatizo hilo kwake maana rais wa aina hiyo ni hatari anaweza kuiingiza nchi kwenye matatizo makubwa ikiwemo vita kama alivyokuwa tayari kuiingiza Tanzania OIC.

Luteni Mzee hasingeweza kumuheshimu Ben kwasababu ya Jeuri yake akijiita Bulldozer maana kweli alikamata sehemu zote muhimu, wakati akiwa Makamu hata marais wa wanafunzi vyuo vikuu alikuwa ameweka wake pia alimuona Ben kama mtu mdogo sana kwake, kumbuka yeye alikuwa PM wa Ben na aliijuwa Siasa na kujiimarisha wakati Ben bado hamna mchanga kabisa, hivyo akawa Bulldozer kweli kwa maana alidhani Ben ni yule yule wa 1995 ambaye walimwacha kwenye uchaguzi akiangaika na Nyerere peke yake wao wakiwa wamesusia Kampeni kabisa nadhani hilo pia Ben alilikumbuka 2005; unajuwa kuwa kama angeacha jeuri na kuomba msamaha na kushiriki kampeni za Ben 100% yamkoni yeye ndiye angekuwa PM lakini wapi, EL naye unajuwa aliiga style yake maan Jk akiwa bado kasinzia hana hili idara zote nyeti na wakuu wote wa wilaya na Mikoa EL aliweka watu wake tayari kazi! hicho ndicho nadhani kilicho mponza EL maana naona kama JK alilazimishwa kumbwaga na alikuwa anatafuta mahala pa kumshushia katika kituo chochote, hivyo sababu ya Dowans ilipotokea basi Mzee ndio zengwe likaanzia hapo siku hizi pia simuoni mama Regina L alikuwa tayari kishatuchosha mitaa na huu ugonjwa unaweza kuamia kwa EL kama alivyokuwa Mzee maana wanasiasa wa wafrica wanaponzwa na watu wanaitwa wapambe, ambao kazi yao ni kumdanga Mzee husiachie bado tupo nyuma yako basi unakuta mtu naye kichwa kina vimba anaendele kuomba round aibu kwake! Mi ninge kuwa Lowasa nisinge gombea ubunge tena.

Maana wakisha kosa kwa kushindwa ndio wanataka waitwe wastaafu hata maana ya kustaafu hawaijui hawa watu, maana mzee naye anasema kastaafu ahaa, haa hivi amna neno linalofaa kwa mwanasiasa aliyegombea akakosa kura kwa kunyimwa na wananchni? maana neno mstaafu naona kama linatumika vibaya hapa Tanzania.
 
- Sijazuia anything zaidi ya kutaka kuelimishwa zaidi, kwamba kama unapoamua kuongelea ubaya wa Malecela, ni vyema uokaongelea uzuri wa Mwinyi, Mkapa na JK, ha! ha! ha! ha!

Willie @ NYC, USA.

  • Nimejaribu kukaa mbali na hii discussion kwasababu imekaa kuwa "politically motivated" however, nataka nimwambie Willie; hiyo comment yako hapo juu imekaa kuwakebehi/kukebehi uzuri wa viongozi uliowataja compared to Malecela, and that was unnecessary ukitegemea what Kikwete did for the family. Kwa maneno mengine: Kikwete amefanya favor kwenye familia ya Malecela (you know it, I know it, and few other people knows what I am talking about). That being said, that post was unnecessary ukizingatia ilikua inatutoa nje ya mada anyway.
  • Nashangaa pia umetoa comment ya sakata la Dr. Kitine, lakini ni mwaka huu huu Dr. Kitine alihojiwa kuhusu hiyo issue akasema alichafuliwa na watu wa system/maadui zake. Sasa kama unataka tuamini kashfa ya Dr. Kitine then kashfa za Malecela pia inabidi tuziamini.
  • Although I applaud you for being forth coming in some issues, I also question your motives. I wonder if the slogan "taifa kwanza chama baadaye" works in all situations.Ukifuatilia post zako nyingi wewe hujawahi kumkosoa JK so i take you see him as a good leader. Hata kwenye issue yakujivua gamba umeiongelea sana lakini unamruka mvaa gamba mwenyewe/key player (JK). Hii inapelekea niamini may be you truly believe JK is a good leader. If so then kama unapima utendaji wa Malecela ukilinganisha na wa Kikwete then the answer is obvious. Lakini je, Malecela angepata uraisi Tanzania ingekuwa better than it is now? For me the answer is unkown. Kama wengine walivyosema sio lazima kila ligi ucheze; some issues are indefensible!
 
Mkuu wakati unajiunga na JF uliyasema haya.



Lakini leo mkuu unaanza kuita wanaJF a bunch of cowards? I think that this a reaction comes as a defence mechanism from people who really can't face the truth. I remember when I was younger being around my mun's friends and I would be watching listening the news about poverty and one particular woman would always change the story. She just didn't want to face what is even accepted as going on, never mind the true horror of it all.

But you know it's strange, I've never felt more at peace with myself than when I began to see past the lies despite the true horror of what's going on. Some people won't watch animal rights stuff because they want to keep on eating meat.

Bwana mukubwa EMT, ni MIMI nimetoa hiyo post ya cowards at their best,na siyo unaemuelekeza huyo unayemchukia.Naona avatar yako ilikuwa bado.
And please get it , mimi SIYO William, miye yohanna mtembezi bwana.
It is sickening when decently educated beings act like a pack of wild dogs
 
Huyu jamaa mmoja mwenye udhubutu wa kuandika jina lake na maoni anabishana na a bunch of cowards behind fake names









avatar39777_1.gif
avatar39269_1.gif
avatar20833_5.gif
avatar42998_1.gif



There is no a bunch of people! unless you don't mean what you present here, by the way if this being a bunch or having fictitious names can disqualifies their nome aptitude?


What is of material to you? Having fictitious names and staples the matters or having use of real names and tall a story?!
 
  • Nimejaribu kukaa mbali na hii discussion kwasababu imekaa kuwa "politically motivated" however, nataka nimwambie Willie; hiyo comment yako hapo juu imekaa kuwakebehi/kukebehi uzuri wa viongozi uliowataja compared to Malecela, and that was unnecessary ukitegemea what Kikwete did for the family. Kwa maneno mengine: Kikwete amefanya favor kwenye familia ya Malecela (you know it, I know it, and few other people knows what I am talking about). That being said, that post was unnecessary ukizingatia ilikua inatutoa nje ya mada anyway.
  • Nashangaa pia umetoa comment ya sakata la Dr. Kitine, lakini ni mwaka huu huu Dr. Kitine alihojiwa kuhusu hiyo issue akasema alichafuliwa na watu wa system/maadui zake. Sasa kama unataka tuamini kashfa ya Dr. Kitine then kashfa za Malecela pia inabidi tuziamini.
  • Although I applaud you for being forth coming in some issues, I also question your motives. I wonder if the slogan "taifa kwanza chama baadaye" works in all situations.Ukifuatilia post zako nyingi wewe hujawahi kumkosoa JK so i take you see him as a good leader. Hata kwenye issue yakujivua gamba umeiongelea sana lakini unamruka mvaa gamba mwenyewe/key player (JK). Hii inapelekea niamini may be you truly believe JK is a good leader. If so then kama unapima utendaji wa Malecela ukilinganisha na wa Kikwete then the answer is obvious. Lakini je, Malecela angepata uraisi Tanzania ingekuwa better than it is now? For me the answer is unkown. Kama wengine walivyosema sio lazima kila ligi ucheze; some issues are indefensible!

Mkuu naungana na wewe. Mimejaribu sana kumvumilia W.J Malecela, but it has reached a point to say that he is among quite few people who are obvious spammers, and are spoiling the forum. Posts zake alizopost kwenye hii thread are technically spam. Sijajua kwa sababu anatumia jina lake ndio maana hajapata ban mpaka sasa. There is a "report abuse" bottom on each post but I bet if he will even be warned if you report him as spamming this forum.

For his few past posts he has been testing the waters to see if he could come up with a post that would be popular, and he failed every time. He has tried different approaches, but none of them worked. He did have a bunch of success full posts in the past when he seemed to really care and believe in what he was saying. But the only theory that I have about it is that people can sense when he is full of crap. I guess the best policy is for him to be sincere because everything else won't work anyway.

It is better to remain silent and appear to be a fool, than to open your mouth and remove all doubt.
 
At least I am not in the pack of wild rabid dogs!



Then you must be the most severely affected rabid dog, you can't even stand the heat in the pack....the only option you have is to cower and put your tail between your legs whenever you see "big" guy Willie @ NYC, USA. Well, I guess it might be the only strategy you have for your survival.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Pamoja na yote hayo juu ya Malecela mimi naamini mwal. Nyerere angekuwa hai leo angeandika kitabu ambacho kisingemhusu Malecela bali magamba wengine ambao ni hatari zaidi ya Malecela na ndio wanaosababisha tuwe hapa leo kiuchumi na kisiasa, kwahiyo Malecela kukataliwa na Nyerere kusiwe kigezo cha kuficha udhaifu wa wengine, nina imani ccm ya leo asingepatikana wa kuungwa mkono na mwalimu na kama wapo basi ni mmoja katika mia!
 
Mimi nawashangaa sana. Kama Malecela hakupata fursa aliyoiwania - hayo yashapita. Haya maneno 'Thank God hakuwa nominated' yananifanya nijiulize, hivi huku JF mijadala ya faida imekwisha? yaana majadiliano yenye maana, watu wanahitaji kujifunza. Malecela is gone; ameitumikia nchi kwa kadiri alivyojaliwa.

To me, unaposema 'Thank God - Malecela wa not nominated' unanifanya nijiulize kwamba unasema INDIRRECTLY kwamba thank God (1) Msuya, (2) Mkapa (3) JK and (4) Msekwa were nominated? Na hao waliokuwa nominated kukamata nafasi alizowania malecela wamefanya nini cha maana? pengine malecela angefanya ya maana zaidi.
 
Bwana mukubwa EMT, ni MIMI nimetoa hiyo post ya cowards at their best,na siyo unaemuelekeza huyo unayemchukia.Naona avatar yako ilikuwa bado.
And please get it , mimi SIYO William, miye yohanna mtembezi bwana.
It is sickening when decently educated beings act like a pack of wild dogs

Apologies Mkuu nilidhani ndie yeye kaweka. He really disappointed me in this thread. Nonetheless, he gave you a big "like" for your post: "Huyu jamaa mmoja mwenye udhubutu wa kuandika jina lake na maoni anabishana na a bunch of cowards behind fake names." I bet he would have given you a big Thank You for your useful post kama kile kibwagizo cha "Thank" kingekuwepo. I strongly agree with you that "It is sickening when decently educated beings act like a pack of wild dogs" by calling others "a bunch of cowards."

Respect Mkuu.
 
Mimi nawashangaa sana. Kama Malecela hakupata fursa aliyoiwania - hayo yashapita. Haya maneno 'Thank God hakuwa nominated' yananifanya nijiulize, hivi huku JF mijadala ya faida imekwisha? yaana majadiliano yenye maana, watu wanahitaji kujifunza. Malecela is gone; ameitumikia nchi kwa kadiri alivyojaliwa.

To me, unaposema 'Thank God - Malecela wa not nominated' unanifanya nijiulize kwamba unasema INDIRRECTLY kwamba thank God (1) Msuya, (2) Mkapa (3) JK and (4) Msekwa were nominated? Na hao waliokuwa nominated kukamata nafasi alizowania malecela wamefanya nini cha maana? pengine malecela angefanya ya maana zaidi.
 
Ujinga wa waTZ ndiyo mtaji wa walanchi, kipindi kile Nyerere hakumkatalia Ngw'inyamisi pekee yake bali pia alimkatalia hata mzee wa Richmond na huyu daktari wetu wa siasa Kikwete. Wa kwanza aliuza nchi na akaambiwa ajitoe ili asaidiwe hela ya watu irudi, hawa wawili wengine waliambia muda wao bado sana, wenzetu wakatafsiri kuwa ngoja akifa tu huyu mzee tunaingia. hali ndiyo hii tunayoiona na tutaendelea kuteseka hadi tuseme tuiii!!! Tumewapa ulaji na hata wao wamesema sasa zamu yao wanatesa, tutakoma tukomae pia. Labda maumivu yakizidi tutaweza kuamua njia mbadala
Mzee wa Richmond alionyeshwa picha za mahekalu yake aliulizwa kijana umepata wapi fweza za kujengea hayo mahekalu ,ikawa hakuna jibu.ikumbukwe mzee wa richmond alipata neema pale waheshimiwa wabunge walipoaanza kupata mikopo ya mashangigi kutoka pale Toyota mart ,pia msisahahu sakata la kiwanja cha nursery school karibu na CMC opp na maktaba kuu ,mzee wa loliondo alitaka ampe tajiri wa CMC,lakini aligonga mwamba baada ya Sabodo kumkalia kooni,Sabodo nafikiri alikuwa ndie mdhamini wa hiyo nursery school.hao ndio viongozi wetu kama mnawapenda kawapikieni chai,Mwalimu ndivyo alivyomwambia mzee wa Richmond,laana ya Nyerere inamrudia mzee wa Richmond
 
Wana JF.

During Nyerere's time watu wamekula bila bughudha. Tena wamefisidi nchi. Msitake kusema kuwa haya mambo yameanza baada ya Nyerere kung'atuka. Ni Kweli Malecela, Kikwete, Lowasa na Msuya walikosa tiketi ya chama chao. Mwalimu alikusudia kumpa Mkapa kwa sababu alijua ataendesha Nchi kwa remote. mabadiliko makubwa wakati wa uongozi wa Mkapa yalikuja baada ya kifo cha Nyerere; nadhani yule mzee alikuwa akimtishia kumchapa kwa kile kifimbo chake.Sekta ya madini haina faida kwa nchi, na Stewart Asseyers imeanza wakati wa mkapa. kuongezwa mkataba wa TICTS kimazenge - Mkapa. Sijui Malecela angefanyaje, lakini asingepelekeshwa kwa remote. We need Independent Leaders. Visionaries. Tatizo siku hizi kila mtu anapenda kuwa mwanasiasa. akikosa tiketi ya ubunge chama hichi atahamia kingine, mradi yeye apewe nafasi ya kugombea.
 
Back
Top Bottom