Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Wasalaam JF,
Tumekuwa tukiamini na kuendelea kuamini na ukweli ndivyo ulivyo kuwa muasisi wa taifa hili la Tanzania, Baba wa Taifa Mwl J. K Nyerere ndiye aliyepata kuwa rais muadilifu na mwenye uchungu na umaskini wa watz wanyonge hivyo alipewa heshima zote ndani ya chama na Serikali.
Nimekuwa nikijiuliza sana kwanini Nyerere alimkataa Malecela asigombee nafasi ya kuwania Urais kupitia chama cha mapinduzi,ccm? mpaka alitishia kurudisha kadi yake ya uanachama endapo Malecela asingejitoa.
Anayefahamu atujuze
Tumekuwa tukiamini na kuendelea kuamini na ukweli ndivyo ulivyo kuwa muasisi wa taifa hili la Tanzania, Baba wa Taifa Mwl J. K Nyerere ndiye aliyepata kuwa rais muadilifu na mwenye uchungu na umaskini wa watz wanyonge hivyo alipewa heshima zote ndani ya chama na Serikali.
Nimekuwa nikijiuliza sana kwanini Nyerere alimkataa Malecela asigombee nafasi ya kuwania Urais kupitia chama cha mapinduzi,ccm? mpaka alitishia kurudisha kadi yake ya uanachama endapo Malecela asingejitoa.
Anayefahamu atujuze