Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
I remember this too. Na nimekuwa nikijiuliza ni mwanakijiji yule wa bcs au? Kule nakumbuka kulikuwa na wanachama wawili wa CCM walikokuwa wanabishana juu ya nani anaijua zaidi CCM yaani Manakijiji na Mzee ES, je, unaikumbuka hii Nyani? Lakini sasa nilifikiri sio yule mwanakijiji wa kule. Kwa sababu kule kulikuwa na Mwanakijiji halafu baadaye akaibuka Mzee Mwanakijiji ambaye nafikiri ndiye huyu tuliye naye hapa. Naendelea kuamini kwamba kuna tofauti kati ya Mwanakijiji (kada wa CCM kule bcs) na Mzee Mwanakijiji (Thinker, debator, writer, lover of his country, controversial as he could be) ambaye ndiye huyu tuliye naye hapa.
Mzee Mwanakijiji unaweza kunitegulia hiki kitendawili msee wangu?
Yaa nakumbuka bwana...tena alikuwa anajivunia uchipukizi wake na kukimbiza mbio za mwenge....