Xkalinga
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 476
- 316
Kuna watu huwa wanapinga kila kitu,nataka niwaone watakao kosoa uumbaji huu wa muumba.Kwa mambo binafsi ya ndani hatujui ila kwa uzuri wa nje,sura nzuri,muonekano bomba, urembo halisia,kiuno cha nyigu,pozi n.k nadhani hakuna wa kupinga kwamba mdada kaumbika...!!labda chuki binafsi tu.Weka maksi
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o>View attachment 25623</o>
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o>View attachment 25623</o>