Cdm, munabishana na polisi !kwasababu za kijinga kama mkutano muliruhusiwa, tbc hawafai,chanal 10 haifai,star tv hawafai na itv wanafaa, si kweli,lkn kilicho wazi ni itv na gazeti lao la nipashe,wanamahaba na cdm, kwasababu wafanyakazi wao ,wengi wao wanatoka kilimanjaro,kwahiyo ni swala la ubaguzi tuu.mfano umewahi kuona mfanyabiashara au mtumishi wa selikali,wa mikoa ya pembezoni tz ambae mchagga si cdm.tunakaanao na kuishinaana wapo ,tra ,polisi ,madokta,wauza bidhaa uwambii kitu kuhusu cdm,wanginewao wanafanya kichinichini.