LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
tulianza na MUNGU NA KUMALIZA NA MUNGU,viva CHAMEMA
Nimeipenda hapa!
VIVA CDM!
tulianza na MUNGU NA KUMALIZA NA MUNGU,viva CHAMEMA
TBC ni janga la taifa. Sijui nitumie neno gani kuielezea TBC.Nashukuru kwa kuwa nilishaacha kuangalia taarifa za tbc1 muda sana, yanini kupata presha na taarifa zilizojaa hujuma dhidi ya matarajio wa watazamaji? ndugu zangu tubadilike, kupinga udhalimu achana na tbc, iliwahi kuwa na maana kipindi cha muhando tu baada ya hapo wiiizi mtupu
TBC mbuzi kabisaaaa! yaani hata main news za leo wao hawaoni umuhimu wa kutaja jambo hili la kihuni linalofanywa na serikali.
TBC Uchafu kabisa!!
TBC ni janga la taifa. Sijui nitumie neno gani kuielezea TBC.
katika kifupisho cha TBC hebu ondoa ile herufi ya mwisho......umenifahamu eh! unapata TB (=tuberculosis) LAKINI ukichukua ITV ukitoa herufi V unapata IT (= Information and Technology) Umenifahamu hapo!
Hivi kweli TBC si ni ya Taifa au genge la wahuni?