Msome huyu:
Jamani nafasi ya Boss (Mhariri Mtendaji) wa magazeti haya ipo wazi karibu miaka miwili sasa.
Anayekaimu hiyo nafasi hana sifa za kitaaluma kuchukua nafasi hiyo. Huyu bwana kwa uchu wa hiyo nafasi yuko tayari kuandika chochote so long as habari hiyo itapendwa na Salva, JK, RA, EL na wengine.
Na kwa mwendo huu nadhani watachakachua sifa za waombaji ili kumbeba maana huyu ndiye aliyeapia kwa miungu kwamba Dr. Slaa will never be the URT President.
Ila anapogusa kanisa la Mungu ajue kaingia kwenye anga hatari akumbuke : 1Chroniicles 16:22 Saying; Touch not mine anointed, and do my prophets no harm (KJV)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.