Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Wapendwa wana jamvi la MMU,
Siku ya J3, nilisema kuwa kuna matukio 2 niliyokutana nayo week hii ambayo kwa kweli yamenigusa sana. Tukio la kwanza ni hadithi ya yule bibi kizee wa miaka zaidi ya 100 ambaye alibakwa kwa zaidi ya masaa 8 na bado mbakaji anadunda mtaani.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-miaka-100-abakwa-kwa-zaidi-ya-masaa-8-a.html
Tukio la pili ni story ya kweli ambayo niliisikia kupitia Clouds radio katika kipindi cha michezo siku ya J2. Kuna kijana (22 yrs old) mcheza football ambaye bahati mabaya sikuweza kupata vizuri jina lake, alieleza jinsi aliavyotapeliwa na mapromota wa mpira wa miguu. Alichukuliwa na mawakala matapeli kutoka ZNZ kwa ajili ya kwenda kumtafutia timu SA. Badala yake walimpeleka Comoro na Libya na kisha kumlazimisha afanye kazi ya kusafirisha unga (dawa za kulevya) kwa malipo ya Tshs 140mil! Kijana aligoma kufanya hiyo kazi na baada ya hapo passport yake na hati nyingine za kuwepo Libya walivichoma moto na huyo kijana kufungwa jela miezi 6 (sikumbuki vizuri kama siyo miezi 4). Walimwachia passport ya Burundi ambapo alirejeshwa baada ya kumaliza kifungo. Story ni ndefu ila kijana tayari karudi Bongo na hakuna hatua ambazo zimechukuliwa dhidi ya hao wahalifu!!
Nilisikitishwa sana na hiyo hadithi na especially aliposema kuwa watu hao walimweleza mambo mengi ikiwemo ushiriki wa watu wazito katika biashara hiyo chafu!!
Siku ya J3, nilisema kuwa kuna matukio 2 niliyokutana nayo week hii ambayo kwa kweli yamenigusa sana. Tukio la kwanza ni hadithi ya yule bibi kizee wa miaka zaidi ya 100 ambaye alibakwa kwa zaidi ya masaa 8 na bado mbakaji anadunda mtaani.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-miaka-100-abakwa-kwa-zaidi-ya-masaa-8-a.html
Tukio la pili ni story ya kweli ambayo niliisikia kupitia Clouds radio katika kipindi cha michezo siku ya J2. Kuna kijana (22 yrs old) mcheza football ambaye bahati mabaya sikuweza kupata vizuri jina lake, alieleza jinsi aliavyotapeliwa na mapromota wa mpira wa miguu. Alichukuliwa na mawakala matapeli kutoka ZNZ kwa ajili ya kwenda kumtafutia timu SA. Badala yake walimpeleka Comoro na Libya na kisha kumlazimisha afanye kazi ya kusafirisha unga (dawa za kulevya) kwa malipo ya Tshs 140mil! Kijana aligoma kufanya hiyo kazi na baada ya hapo passport yake na hati nyingine za kuwepo Libya walivichoma moto na huyo kijana kufungwa jela miezi 6 (sikumbuki vizuri kama siyo miezi 4). Walimwachia passport ya Burundi ambapo alirejeshwa baada ya kumaliza kifungo. Story ni ndefu ila kijana tayari karudi Bongo na hakuna hatua ambazo zimechukuliwa dhidi ya hao wahalifu!!
Nilisikitishwa sana na hiyo hadithi na especially aliposema kuwa watu hao walimweleza mambo mengi ikiwemo ushiriki wa watu wazito katika biashara hiyo chafu!!