Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,258
siku nyingine ya ibada na mimi ntaomba kualikwa!!
yu a always welikamu zis way fo chachi.
siku nyingine ya ibada na mimi ntaomba kualikwa!!
Siku nyingine ya ibada na mimi ntaomba kualikwa!!
hii mineno ni kubwa sana madam
Nimeshatoka chachi, hapa napiga mathematics ya kwenda kwa mromboo kwny mbuzi. Mna nafasi?
Filipo mambo! Kwema? Eti nambie does FREEMANSONS exist kiukweli? ME huwa siamini na huwa naona ni kama hadithi ya kufikirika tu. Please kama unajua let me know or tip me.
Bidada una mambo wewe!!
Haya njoo leo ipo tena.
marejesho si nilikwambia!? Haya sasa, madame B anakukaribisha! Shtuka.....
Ashtuke nini?
Kikao leo kipo au hakipo?
Nina Noah kama Kilo 7 nimetoka nacho Porini,
Ita Wanachama,
na huyo Mzushi sijui anahemea kona gani sahv huko RockCity.
Heheheee ngoja niende zangu nikale samaki chap tutaonana kwenye ndofuMimi sijambo kbs.
Penguin wako au wangu?
Umeshindwa bei afu unalia lia.
Heheheee ngoja niende zangu nikale samaki chap tutaonana kwenye ndofu
Tatizo lako ni ile ya "tupo pamoja ila meza tofauti!" Sikuamini!
Nilikuwa kwenye meza moja na nyie,ila kuna mtu aliniudhi ndo nikahamia kaunta.
Si unaona sasa unavyosusa haraka! Ndio maana mashaka yanazidi matumaini! Mbona mimi ndiye niliyekuwa nasimamia shoo nzima!? Sikukuona mkuu!
Sasa leo ndio mtaa wa jaluo au Milan?
Milan.