Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Duniani kuna watu na viatu:-
Wapo wanaozaliwa hivyo..Kitaa tulikuwa na mmoja wa dizaini hiyo..Ila wazazi wake walifanya siri sana..Ilipoanza kujulikana ikabidi wahame...Hata mie najua hivo, ni wanaume wanafanya surgery
aah wap nipigwe na jikeeeee? usinikadirie kwa kuandika kwanza kwa appearance tu atagwaya kabla ya ngumiKaka acha hizo. Labda weye hujui kuwa wapo wanawake utakao gwaya kwao akiamua. Hivyop vitasa waweza kuvihesabiwa weye. Tema mate uombe yasije kukukuta. Kuna wamama wameenda shule ya kujihami kisawasawa
Mpendwa ukimjua wa hivo nishtue nna kazi naeWapo wanaozaliwa hivyo..Kitaa tulikuwa na mmoja wa dizaini hiyo..Ila wazazi wake walifanya siri sana..Ilipoanza kujulikana ikabidi wahame...
Alizaliwa na zote mbili sema wazazi wake tangu alipozaliwa wakawa wanamtreat kama mwanaume..Na wote tulikuwa tunajua ni mwanaume..Kumbe mtt wa watu alikuwa na hormones nyingi za kike kuliko za kiume..Kadri alivyokuwa anazidi kukua uanamke ndo unazidi kujionyesha..Wananzengo wakaanza zao za ufukunyuku..Ndo wakaamua kuhama..Ila nikaja kusikia amekuwa sista duu wa nguvu..Mkali balaa
Teh teh..Unapenda vitu vya ajabu ww..Haya mpendwaMpendwa ukimjua wa hivo nishtue nna kazi nae
aah wap nipigwe na jikeeeee? usinikadirie kwa kuandika kwanza kwa appearance tu atagwaya kabla ya ngumi
Una bahati ungepewa makonde ya kuleeeHabari za usiku huu wakuu,
Ngoja niende kwenye point yangu, tokea niazaliwe aisee sikuwahi wa kukutana na hawa wanawake wenye jinsia zetu.
Aisee leo nimeiona duu kuna msichana nilikutana nae kwenye daladala kama siku siku sita nyuma tokapiga stori mbili tatu tukabadilishana number.
Tukaendelea story za kushawishiana za kuvunja amri ya sita tukapanga leo akitoka kwenye sherehe tuonane namimi sijavunga nikatafakari haraka kumleta gheto roho ikagoma nikachukua lodge nikawa namsubili muda ulivyofika anaendea hewani nikamuelekeza hakupata tabu sana kufika.
Alivyofika nikankaribisha na nikamuacha apumzike na akaoge baada ya hapo nikaanza zile foreplay ila nikataka kushika papuchi alikuwa ananiwai mkono usifike chini nikaendelea na sahemu alizo niambia zinamuhamasisha zaidi.
Sasa baada ya wote chini kufanya kazi nikataka kuzama chuvini tooba nakutana mkono wa sweta umesimama yani uume ilinywea muda huohuo yani nilikurupuka na boksa na vest yangu nimemuachia.
Nimeogopa sana yaani mpaka sasa sijalala najitisha mwenyewe na google tu kuwafahamu vizuri ha watu ndo nimelipa hili jina vizuri shemale anayewafamu hawa viumbe anisaidie jamani.
Aaah tatty, naye angeomba mchezo kwa jamaa bora kakimbiaUmemkatili dada wa watu masikini...papuchi si anayo lakini? ungeishughulikia tu...dyudyu ungeachana nayo. Umemnyanyapaa!
Hii kweli. Nami sijawahi kuona wenye jinsia zote mbali na kuwa na shape na sura ya kike.Kwenye porn sites nimeona shimeles wengi wenye uume tu sijawahi ona wenye uume na uke kwa wakati mmoja.
Mi nilikuwa najua hormone ndo zinawafanya vile. Kumbe huwa wanafanya surgery!Hata mie najua hivo, ni wanaume wanafanya surgery
Sio hormone ni surgeryMi nilikuwa najua hormone ndo zinawafanya vile. Kumbe huwa wanafanya surgery!
Ulitaka ufanye utafiti??Ayaaaaaa nlitaka kuomba namba kumbe kishafanya surgery