STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,208
HahahahahahaSiwezi kutupa.
Hata kama ni kuchanganya tu zote nimtumie Mkemia Magufuli aende kutengenezea kemikali za kutumia kwenye maabara za shule za sekondari imo.
Tutabana matumizi.
HahahahahahaSiwezi kutupa.
Hata kama ni kuchanganya tu zote nimtumie Mkemia Magufuli aende kutengenezea kemikali za kutumia kwenye maabara za shule za sekondari imo.
Tutabana matumizi.
HahahahahahaSiwezi kutupa.
Hata kama ni kuchanganya tu zote nimtumie Mkemia Magufuli aende kutengenezea kemikali za kutumia kwenye maabara za shule za sekondari imo.
Tutabana matumizi.
HahahahahahSiwezi kutupa.
Hata kama ni kuchanganya tu zote nimtumie Mkemia Magufuli aende kutengenezea kemikali za kutumia kwenye maabara za shule za sekondari imo.
Tutabana matumizi.
HahahahahahSiwezi kutupa.
Hata kama ni kuchanganya tu zote nimtumie Mkemia Magufuli aende kutengenezea kemikali za kutumia kwenye maabara za shule za sekondari imo.
Tutabana matumizi.
Inauzwaje mkuuBotega veneta ndio habari ya mjini,itumie hutojuta haisee,mwaka Wa 18 huu naitumia,asilimia 80% ya wapenz wangu niliwapatia sababu ya perfume2,nakumbuka adi lecture Wa kike alishaniita ofisini nikamuuliza kulikoni akaniambia harufu ya perfume yangu inampa ashki za kufanya mapnz mpka nikaona aibu kumtizama ,hiwezi amini hivi kitu ofisini sasa nisipokuwepo utajua tu,wafanyakaz wenzangu Wa kike wananipenda usipime kisa perfume2 dahaa botega inawatega kweli!! Ijaribuni ndugu zangu japo cjawai kuwaambia marafiki zangu japo wengi walipenda niwaambie jina LA perfume!! Basi Leo nimemwaga mchele sasa,ila kua makini ukishaanza kuitumia kama unadada zako wataitumia iishee maanake wataipenda sana! Weka mbali na watoto Wa kike !? Naweka chini kalamuView attachment 361635
Kila siku si utakuwa unaugua mafuaI'll be back with a bang....
This time I'm taking all y'all inside my walk-in closet....
Matador
Matador
Ha haa yaani wewe!Katika maisha yangu yote sijawahi kuuza kitu nilichonunua na sina mpango wa kuanza sasa.
Huo ni uchuuzi.Mimi kituo changu katika maisha si uchuuzi.
Kama kuuza nina vitu vya thamani zaidi lakini sitaki kuviuza.
Kitu kikishapata kuwa cha Kiranga thamani yake inapanda juu sana kiasi hata nikitaka kuuza hakuna atakayeelewa na kumudu kununua.
Yani nikitaka kuuza hata mafuta aliyojipaka Yesu hayatafikia bei hiyo.
Isaye Miyake bonge 1 la perfume yan
Duka gani bongo jombaa?funguka pls.Bongo wanauza kuanzia 600k-800k
hakuna mwenzangu tunaetumia hizi za 5000 au 6000
Mimi natumia hii ni Tsh 6000 adi 5000/=
najuaga kuchagua maana hizi za kwetu mnaweza kukutana hata thelathini mna mnukio mmojaHuyo hapo chini.