OsamaBinLaden
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 706
- 3
Baada ya kutoke malumbano tofauti yanayohusu kuenea kwa ukimwi nimeona no bora nilete hili swali kwa wakuu waweze kutoa ufahamu wao
je ni nini chanzo cha ukimwi na ulitokea wapi??
kata shina ili mti usiote lakini ukatapo tawi utaendelea kuoota na kustawi.
wadau tunaomba ukweli wa hilo.
je ni nini chanzo cha ukimwi na ulitokea wapi??
kata shina ili mti usiote lakini ukatapo tawi utaendelea kuoota na kustawi.
wadau tunaomba ukweli wa hilo.