ndugu wanajamii tukubaliane lini tutakuwa na muda wa kufanya mkutano huo ,. then kila mtu aandae elfu kama elfu kumi mpaka 15 kwa ajiili ya gharama za ukumbi (inaweza kupungua au kuongezeka kutegemeana na idadi ya watu).. ukumbi upatikana tu.
Napendekeza tarehe 30 January 2011, vipi wadau mnasemaje. Kanyagio tusaidie kutoa pendekezo la ukumbi mmojawapo na gharama zake ili tuwe na hakika ya gharama. Halafu hiyo 10 - 15 elfu itakuwa ni gharama ya ukumbi tu au ita-include some drinks or anything.
Jumapili watu wengi wanakuwa na vikao vya kifamilia na harusi, hatuwezi kufanya Jmosi 29th or 26th sababu ni public holiday
Mkuu Elnino; Ni kweli katika miji mikubwa kama Dar unaweza kujikuta kila Jumapili unahitajika kushiriki kikao cha harusi ya jamaa wa karibu. Tunaweza kukutana 29 Jan 11; hii inaweza kuwa njema zaidi kwa wale watakaotoka nje ya Dar kurejea makwao Jumapili.
Mkuu Kanyagio; unaweza kuangalia ukumbi kwa siku hiyo.
Nawasilisha!
kwa tarehe hizo mimi nitaukosa mkutano wa kwanza. Narudi dar 1february. Nitapata feedback toka kwa kanyagio. Ikikubalika tarehe hiyo basi mkutano ufanyike
Mkuu Malila;
Nafikiri wadau wengi wangependekeza uwepo wako kutokana na michango yako, ngoja tuwasikilize wadau wengine.
WaKUU nashauri kikao Kihairishwe Mpaka baada ya 1February mpaka Mkuu Malila awepo,na atuhakikishie kuwepo,Michango yake ktk hii secta hana mpinzania na ameonyesha a true spirit of the INTERNET.to help and share knowledge freely .
Malila sasa tueleze convenient time and date .