Tujiunge na kuanzisha JAMII FARM

mfano mdogo tu jamaa kasema tuanzishe Gazeti la JF, hebu angalia michango ilivyo mingi? hakuna mtu anataka kilimo na ufugaji - ha ha ha

Ukweli ni kwamba hatuwezi kuepuka kuzungumzia juu ya Kilima na ufugaji, hili ndilo eneo pakee ambalo kwetu sisi tunaweza kuanzia. Wenzetu wanazungumzia jinsi ya kwenda kuisha katika sayari ya Mars. kwa hali inavyoelekea baada ya miaka michache tunaweza kujikuta hata eneo hilo limeshachukuliwa na mabepari wanaoingia kwa mgongo wa uwekezaji.
 
Heshima Kwako Elnino!

Ni kweli kabisa Mtaji ni tatizo kubwa kwa WaTZ tulio wengi, unapofikiria kuanzisha uzalishaji wa bidhaa na siyo biashara za uchuuzi ambazo waTZ wengi wanapendelea. Kwa hiyo basi njia pekee ni kuunganisha nguvu zetu na kuweza kuanzisha uzalishaji; eneo pekee ambalo ninaimani tunaweza kutumia jitihada zetu wenyewe ni katika kilimo na Ufugaji.

Ninaamini kupitia JF tutakutana watu wenye nia na mtazamo mmoja; kujikomboa kupitia Kilimo na Ufugaji.

Ninakaribisha wale ambao wako tayari katika kushiriki mchakato huu kuweza kuniPM na kuona jinsi ya kukutana.
 
Tuwakaribishe pia na wasomaji wanaotembelea JF, ambao sio Wanachama wa JF. Lengo letu ni kuwekeza na kuinua uchumi, kwa hiyo watu wa dini zote, itikadi zote na rangi zote wanakaribishwa. Kiingilio kiwe kiasi fulani kwa kuanzia mfano Mwana JF mmoja kasema laki 5
 
Asante Mpadmire

Naamini huu ni mwanzo mzuri, ni kweli Elnino alipendekeza kuwa na hisa za takribani Tsh 500,000 kwa kila mwanachama katika ushirika huo. Lakini hii itatokana na mependekezo ya wengine. Hivyo basi tunakaribisha mapendekezo zaidi na kwa wale walio serious kujitokeza na kuona jinsi ya kukutana.

PAMOJA TUNAWEZA...!!!
 
mfano mdogo tu jamaa kasema tuanzishe Gazeti la JF, hebu angalia michango ilivyo mingi? hakuna mtu anataka kilimo na ufugaji - ha ha ha

Elnino it is well said... na mimi binafsi nakubaliana kwamba mtaji ni kitu muhimu sana.. ila niseme kuwa kuna mitaji ya aina mbili, mtaji pesa na mtaji muda... kuna watu wana pesa lakini hawana muda wa kufuatilia nini kinaendelea shambani.. kwa hiyo tukiunganisha nguvu mambo yataji-compliment..

El nino aidha umegusia suala kubwa sana-- UHAMASISHAJI.. nakumbuka malila alishawahi kuratibu CHAI DAY.. na kweli nikili kwamba kwangu ilikuwa ni mojawapo ya mkutano uliobadilisha fikra zangu katika kilimo.. maana kwa sasa nimepata shamba katika baadhi ya maeneo na ninawekeza fedha kidogo ya mshahara wangu katika kufanya shughuli za kilimo.

kwa hiyo basi napendekeza, kama kweli tupo serious napendekeza watu wafuatao tupange tukutane kwa sababu nimeona tuna interest za kilimo:

  1. Malila
  2. Elnino
  3. Mimi (Kanyagio)
  4. Mgombezi
  5. Maskini Jeuri
  6. NewMzalendo
  7. mwingineyo anayemaanisha (narudia tena anayemaanisha kulima)
tukubaliane tukutane lini na wapi.

nimetaja watu wachache kwa sababu ili mambo yaende ni lazima kuwepo na kikundi kidogo cha kujitolea kutengeneza msingi then kundi kubwa zaidi linashirikishwa.

ahsanteni sana
 
Asante Kanyagio!

Ni matumaini yangu kwamba wale wote ambao wako interested na Kilimo na Ufugaji watakuwa tayari wameshachukua hatua za kuwekeza katika eneo hilo, japokuwa inawezekana ni katika small scale labda shamba la heka(1 - 5) au ufugaji - Ng'ombe (1 - 10). Lakini hapa tunataka kwenda mbali zaidi kwa kuanzisha mashamba ya kilimo na ufugaji katika scale kubwa; ambapo mafanikio yake kwa mtu mmoja inabidi awe bepari au fisadi, hivyo njia pekee ni kuunganisha nguvu zetu.

Mkuu Kanyagio ametoa pendekezo la kukutana na wadau hapo juu na wengineo; naomba wadau mliopo katika hiyo list kutoa confirmation zenu katika ushiriki wa mchakato huu na tuweze kufanya arrangement za kukutana. Na wale ambao wako intrested tunawakaribisha kwa michango zaidi.

Nawakilisha!
 
Wana JF!

Katika kuonyesha KILIMO KWANZA kwa vitendo, nimekuwa na wazo kwamba wana JF tunaweza kuunganisha nguvu zetu na kuwa na shamba la kisasa litakaloitwa JAMII FARM. Shamba hili liwe kumbwa sana na linapaswa kuwa la mfano. Shamba hili liwe na mifugo mbalimbali (kuku wa aina zote, ng'ombe (maziwa na nyama), mbuzi, bata mzinga na wengineo; pamoja na bustani za mboga mbalimbali. Hili ni wazo, nakaribisha mawazo ya wengine. Tuwaweza kutumia mfumo wa kuwa na hisa na watu kununua hisa.

Haitakaa itokee watu wanavyorushiana mawe humu halafu unataka kuwakutanisha wewe una hatari wewe!!Pili mimi nipo chile iloshamba litanuhusu vipi??siwote waishio hapo nahisi hata domain ya jf haipo tz kwani ndiyo maana ukituma thread inaonye mda uliotuma thread yako nimda tofauti na huko tz!!Zingatieni hilo wakuu!!
 
Haitakaa itokee watu wanavyorushiana mawe humu halafu unataka kuwakutanisha wewe una hatari wewe!!Pili mimi nipo chile iloshamba litanuhusu vipi??siwote waishio hapo nahisi hata domain ya jf haipo tz kwani ndiyo maana ukituma thread inaonye mda uliotuma thread yako nimda tofauti na huko tz!!Zingatieni hilo wakuu!!

kwenye RED hapo juu, kakakiiza usiwe negative namna hiyo (mtu ambaye ni JF Senior Expert Member).. kwa taarifa yako .. kama kukutana tulishakutana na baadhi ya watu tukajadiliana na kupeana mawazo. na manufaa ya mkutano huo binafsi nayaona. pili watu wote waliorodheshwa hapo juu wapo Tanzania na mainly Dar na kama hawapo Dar naamini wapo tayari kusafiri kuja dar (ili mradi wanakuja kujadili suala la maendeleo yao)... naamini members waliotajwa hapo juu ni wakulima halisi na si wakulima wa kwenye computer..
hebu jaribu kufuatilia post za mmoja mmoja niliotaja hapo juu utaona nani anafanya nini na wapi. na kwa urahisi unaweza kusoma thread hii https://www.jamiiforums.com/busines...za-kilimo-pamoja-na-hesabu-kilimo-nanasi.html
 
Haitakaa itokee watu wanavyorushiana mawe humu halafu unataka kuwakutanisha wewe una hatari wewe!!Pili mimi nipo chile iloshamba litanuhusu vipi??siwote waishio hapo nahisi hata domain ya jf haipo tz kwani ndiyo maana ukituma thread inaonye mda uliotuma thread yako nimda tofauti na huko tz!!Zingatieni hilo wakuu!!

Asante KAKAKIIZA!

Lakini naomba ukumbuke kwamba kwa sasa dunia ni Kijiji; ndiyo maana wewe upo Chile na wengine wapo sehemu nyingine ya dunia na tunashirikiana kupashana habari. Kwa hiyo kwa Ulimwengu tulionao ninaamini hili linawezekana kabisa.

Lengo hapa JF sio kutengeneza uadui baina yetu bali ni kuleta mawazo na changamoto zitakazoweza kuleta mageuzi ya kweli kwa nchi yetu na waTZ kwa ujumla. Tofauti za hapa na pale ni jambo la kawaida katika maisha ya kila siku, lakini haziwezi kupelekea watu tusikae kwa pamoja na kujadili mambo ya msingi.

Ni matumaini yangu kwamba utaweza kushiriki nasi katika mchakato huu na tunatarajia mchango wako wa mawazo hasa ukizingatia na nchi uliopo kwa kufahamu wenzetu wanafanikiwa vipi.

Naamini kupitia JF wengi tutabadili mtazamo wetu!
 
Mawazo yako mazuri sana ndugu yangu unajua huwa naangalia jinsi vijana wanazurura mjini huku bila kazi wanaishia kuwa vibaka najiuliza wangejiunga kwenye vikundi si wangetoka
 
Asante Mageuzi1992

Hatuna utamaduni wa kujiunga na kufanya jambo moja; hivyo inabidi tuanze na itaweza kuwasaidia hata wale vijana ambao hawana ajira kabisa. Utajiri wetu mkumbwa ni ardhi na rasilimali nyinginezo tulizonazo. Ninakumbuka katika moja ya hotuba za mwisho wa Mwezi za Mkapa alikuwa anashangaa kwanini wamiliki wa daladala wasiungane na kuwa kampuni moja; lakini hakutoa njia elekezi kwa wamiliki hao.

Je tukuweka katika list ili tuone jinsi ya kukutana na kuanza mchakato rasmi.
 
Elnino it is well said... na mimi binafsi nakubaliana kwamba mtaji ni kitu muhimu sana.. ila niseme kuwa kuna mitaji ya aina mbili, mtaji pesa na mtaji muda... kuna watu wana pesa lakini hawana muda wa kufuatilia nini kinaendelea shambani.. kwa hiyo tukiunganisha nguvu mambo yataji-compliment..

El nino aidha umegusia suala kubwa sana-- UHAMASISHAJI.. nakumbuka malila alishawahi kuratibu CHAI DAY.. na kweli nikili kwamba kwangu ilikuwa ni mojawapo ya mkutano uliobadilisha fikra zangu katika kilimo.. maana kwa sasa nimepata shamba katika baadhi ya maeneo na ninawekeza fedha kidogo ya mshahara wangu katika kufanya shughuli za kilimo.

kwa hiyo basi napendekeza, kama kweli tupo serious napendekeza watu wafuatao tupange tukutane kwa sababu nimeona tuna interest za kilimo:

  1. Malila
  2. Elnino
  3. Mimi (Kanyagio)
  4. Mgombezi
  5. Maskini Jeuri
  6. NewMzalendo
  7. mwingineyo anayemaanisha (narudia tena anayemaanisha kulima)
tukubaliane tukutane lini na wapi.

nimetaja watu wachache kwa sababu ili mambo yaende ni lazima kuwepo na kikundi kidogo cha kujitolea kutengeneza msingi then kundi kubwa zaidi linashirikishwa.

ahsanteni sana

Kanyagio,

Wazo zuri na list mimi naikubali - kwa sababu ya hizi sikukuu za mwisho wa mwaka tukutane mara ya kwanza mwezi January 2011, kama wote tutaafikiana basi PM zitapita ili tubadilishane number za simu.

Mimi naamini kupitia Umoja basi kila kitu kinawezekana.
 
Elnino it is well said... na mimi binafsi nakubaliana kwamba mtaji ni kitu muhimu sana.. ila niseme kuwa kuna mitaji ya aina mbili, mtaji pesa na mtaji muda... kuna watu wana pesa lakini hawana muda wa kufuatilia nini kinaendelea shambani.. kwa hiyo tukiunganisha nguvu mambo yataji-compliment..

El nino aidha umegusia suala kubwa sana-- UHAMASISHAJI.. nakumbuka malila alishawahi kuratibu CHAI DAY.. na kweli nikili kwamba kwangu ilikuwa ni mojawapo ya mkutano uliobadilisha fikra zangu katika kilimo.. maana kwa sasa nimepata shamba katika baadhi ya maeneo na ninawekeza fedha kidogo ya mshahara wangu katika kufanya shughuli za kilimo.

kwa hiyo basi napendekeza, kama kweli tupo serious napendekeza watu wafuatao tupange tukutane kwa sababu nimeona tuna interest za kilimo:


  1. Malila
  2. Elnino
  3. Mimi (Kanyagio)
  4. Mgombezi
  5. Maskini Jeuri
  6. NewMzalendo
  7. mwingineyo anayemaanisha (narudia tena anayemaanisha kulima)

tukubaliane tukutane lini na wapi.

nimetaja watu wachache kwa sababu ili mambo yaende ni lazima kuwepo na kikundi kidogo cha kujitolea kutengeneza msingi then kundi kubwa zaidi linashirikishwa.

ahsanteni sana

Hili wazo ingekua ni kwa watani/wapinzani/jirani zetu wakenya, dah!......saa hizi watu wanacheka na nyavu na mpira huko kat!
 
Hili wazo ingekua ni kwa watani/wapinzani/jirani zetu wakenya, dah!......saa hizi watu wanacheka na nyavu na mpira huko kat!

Asante Realtor kwa Mchango wako!

Sasa ni wakati wa kuchukua hatua; wewe unatakiwa kuwa mfano katika kuleta mabadiliko katika jamii yetu na sio kuwaona majirani wao kama malaika, kuna wakati nao walianza.

Pamoja tunaweza!
 
Kanyagio,

Wazo zuri na list mimi naikubali - kwa sababu ya hizi sikukuu za mwisho wa mwaka tukutane mara ya kwanza mwezi January 2011, kama wote tutaafikiana basi PM zitapita ili tubadilishane number za simu.

Mimi naamini kupitia Umoja basi kila kitu kinawezekana.

i second your proposal
 
Elnino it is well said... na mimi binafsi nakubaliana kwamba mtaji ni kitu muhimu sana.. ila niseme kuwa kuna mitaji ya aina mbili, mtaji pesa na mtaji muda... kuna watu wana pesa lakini hawana muda wa kufuatilia nini kinaendelea shambani.. kwa hiyo tukiunganisha nguvu mambo yataji-compliment..

El nino aidha umegusia suala kubwa sana-- UHAMASISHAJI.. nakumbuka malila alishawahi kuratibu CHAI DAY.. na kweli nikili kwamba kwangu ilikuwa ni mojawapo ya mkutano uliobadilisha fikra zangu katika kilimo.. maana kwa sasa nimepata shamba katika baadhi ya maeneo na ninawekeza fedha kidogo ya mshahara wangu katika kufanya shughuli za kilimo.

kwa hiyo basi napendekeza, kama kweli tupo serious napendekeza watu wafuatao tupange tukutane kwa sababu nimeona tuna interest za kilimo:

  1. Malila
  2. Elnino
  3. Mimi (Kanyagio)
  4. Mgombezi
  5. Maskini Jeuri
  6. NewMzalendo
  7. mwingineyo anayemaanisha (narudia tena anayemaanisha kulima)
tukubaliane tukutane lini na wapi.

nimetaja watu wachache kwa sababu ili mambo yaende ni lazima kuwepo na kikundi kidogo cha kujitolea kutengeneza msingi then kundi kubwa zaidi linashirikishwa.

ahsanteni sana

Mkuu Kanyagio naomba unitaarifu siku gani itakuwa hicho kikao na mimi nishiriki kikaoni naomba unijulishe mapema ili nijiandae nasafari mkuu kwakuwa nipo nje kama itakuwa mwezi wa kwanza mwanzoni nitakuwepo
Mbarikiwe
 
Asante Realtor kwa Mchango wako!

Sasa ni wakati wa kuchukua hatua; wewe unatakiwa kuwa mfano katika kuleta mabadiliko katika jamii yetu na sio kuwaona majirani wao kama malaika, kuna wakati nao walianza.

Pamoja tunaweza!

Mkuu Mgombezi, hili wazo ni babu kubwa sana na hongera kwa kulileta hapa jamvini. Na ni moja kati ya mawazo mazuri yanayopita hapa JF na kujadiliwa bila kufanyiwa kazi. Cha muhimu ni kubadilisha approach ambazo tunatumia kuleta mawazo yetu ya kibiashara ili yawe mawazo endelevu. Kwa mfano, kwa wazo la kuanzisha JF Farm ni muhimu kwa mleta wazo kuja na draft project proposal na action plan ambazo wanaJF watajadili na ambao watakua tayari wataingia kwenye ng'oma...
 
Big Up MGOMBEZI and ELNINO.

Now, lets team up for those who are serious

these people are serious, bug up!!! ingawa sipo DSM lakini npo pamoja nanyi katika hili, wazo la kuwa la mzee Elnino kuhusu saccos, then invest linaonekana ni la muhimu!!. Ingawa nina hofu ya maumivu ya DECI, watu humi jamvini walijeruhuwa inabidi kuwe ma kakati wa kuaminika kuondoa hofu za watu. kwangu mm naona linafaa

tupo pamoja
 
Back
Top Bottom