Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,286
Bonge la movie linaitwa No Retreat No Surrender,akina Michael Didcoof,Sugar Suge,usipime! ilikuwepo ile nyingine ya Alex akiwa mjeshi na Vandame mateka wanatupwa kwenye bwawa la mamba...enzi hizo kabla ya movie inaanza miziki ya akina Loketo,Mabere,marehemu Pepe Kalee,mitaa ya majengo shy town....za bongo sijuhi zina creativity gani?
No retreat No surrender naipenda kweli!!
Ngoja nitafute muda wa kuangalia movie za zamani tu!!