Dah! Yale Mamovies ya kina Chuck Noris, Jet Lee, Anold, ect nikiyakumbuka waga yananikumbushaga mbali saana!
Enzi hizo tulikuwa tunazamia katika mabanda ya kuonesha hzo movies. Tulikuwa tunayaita 'Mbavu za Mbwa' unalipia kihamsini chako unachoma ndani!
Wale wezangu na mimi ukikodisha hizo VHS kwa Video Library, Baba au Mama anakugombeza kinyama eti utachafua deki na hizo VHS zako, kwa hiyo wazaz wengi walikua wana nunua sana hizo kanda na ndani huwezi ukakosa ile ''HEAD CLEANER"(kwa wanaouzikumbuka)
Na kwa zile kanda zilikuwa zimetafsiriwa kwa kiswahili zilijaa uwongo mtupu. aisee wale walokuwa wanatafsiri(majina yao yamenitoka) walitupotosha sana!
Muvi kama Delta Force, The Bodyguard, Seven Kids zilitamba sana...ebu nawewe nikumbushe mamovies mengine yalofunika
Enzi hizo tulikuwa tunazamia katika mabanda ya kuonesha hzo movies. Tulikuwa tunayaita 'Mbavu za Mbwa' unalipia kihamsini chako unachoma ndani!
Wale wezangu na mimi ukikodisha hizo VHS kwa Video Library, Baba au Mama anakugombeza kinyama eti utachafua deki na hizo VHS zako, kwa hiyo wazaz wengi walikua wana nunua sana hizo kanda na ndani huwezi ukakosa ile ''HEAD CLEANER"(kwa wanaouzikumbuka)
Na kwa zile kanda zilikuwa zimetafsiriwa kwa kiswahili zilijaa uwongo mtupu. aisee wale walokuwa wanatafsiri(majina yao yamenitoka) walitupotosha sana!
Muvi kama Delta Force, The Bodyguard, Seven Kids zilitamba sana...ebu nawewe nikumbushe mamovies mengine yalofunika