Pia na huyu alikuwa maalufu sana, ebu angalia vizuri picha yake kisha nieleze ni nani huyu.Msiniulize chanzo wala majina yao, anayewafahamu awasaidie wengine kuwafahamu.
Mkuu ingependeza sana hii thread yako ukaiunganinisha na thread ya "Tujikumbushe watangazaji wa zamani" Just a sugestion!!Pia na huyu alikuwa maalufu sana, ebu angalia vizuri picha yake kisha nieleze ni nani huyu.
Ebu angalia na hawa, Katka hawa kuna Charles Hilary, Halima Kihemba, Deo LweyungaKuna thread nimeweka yenye baadhi ya watangazaji, nimeshauriwa niunganishe na hii, sasa nimefanya hivyo, na picha zenyewe ni hizo
Teh teh! Huyu mama ni mkuu wa wilaya ya Bahi kule Dodoma, kabla ya hapo alikuwa wilaya ya Korogwe pale Tanga.Elizabeth Chalamila (Betty Mkwasa)
Halima Kihemba
Mkwasa.................jamani............
-Deborah Mwenda
-Elizabeth Chalamila(Betty Mkwasa)
-Omar Jongo
-Geofrey Erneo
-Enock Ngombale Mwiru-Handsome boy wa Club Raha Leo Show
-Idrissa Sadallah
-Hendrick Michael Libuda
-Nswima Errrrrrnest
-Richard Leo
-Malima Ndelema
-Mohammed Kisengo
-Rosemary Mkangara
-Nathan Rwehabura
-Nkwabi Ng'wanakilala
-STZ alikuwepo mzee Yusuph Omar Chunda
-Abisai Steven
-Charles Martin Hilary Nkwanga(alivyokuwa Radio one akaanza kujiita Bwana Nkwanga)
-Abdallah Idrissa Majura
-Halima Kihemba
"Hii ni Taarifa ya Habari kutoka Redio Tanzania. Msomaji Jacob Tesha. Kwanza Muhtasari Wake..."
Mmenikumbusha mbali! kipindi cha mama na mwana! Deborah Mwenda (bibi) TBC.
Abdallah Mlawa- Kijaluba na Aloysia Isabulla.
Salama Mfamao na Siwatu Luwanda-RIP.
...pamoja na "mkoa kwa mkoa"tumbuizo asilia-michael katembo