Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

Msiniulize chanzo wala majina yao, anayewafahamu awasaidie wengine kuwafahamu.
 

Attachments

  • tbc.jpg
    tbc.jpg
    3.8 KB · Views: 176
  • tbc6.jpg
    tbc6.jpg
    3 KB · Views: 176
  • tbc7.jpg
    tbc7.jpg
    2.3 KB · Views: 173
  • tbc2.jpg
    tbc2.jpg
    3.9 KB · Views: 174
  • tbc8.jpg
    tbc8.jpg
    1.5 KB · Views: 162
Msiniulize chanzo wala majina yao, anayewafahamu awasaidie wengine kuwafahamu.
Pia na huyu alikuwa maalufu sana, ebu angalia vizuri picha yake kisha nieleze ni nani huyu.
 

Attachments

  • rtd.jpg
    rtd.jpg
    3.9 KB · Views: 166
Pia na huyu alikuwa maalufu sana, ebu angalia vizuri picha yake kisha nieleze ni nani huyu.
Mkuu ingependeza sana hii thread yako ukaiunganinisha na thread ya "Tujikumbushe watangazaji wa zamani" Just a sugestion!!
 
Kuna thread nimeweka yenye baadhi ya watangazaji, nimeshauriwa niunganishe na hii, sasa nimefanya hivyo, na picha zenyewe ni hizo
 

Attachments

  • tbc3.jpg
    tbc3.jpg
    2.9 KB · Views: 206
Kuna thread nimeweka yenye baadhi ya watangazaji, nimeshauriwa niunganishe na hii, sasa nimefanya hivyo, na picha zenyewe ni hizo
Ebu angalia na hawa, Katka hawa kuna Charles Hilary, Halima Kihemba, Deo Lweyunga
 

Attachments

  • Charles hilari.jpg
    Charles hilari.jpg
    4.4 KB · Views: 188
  • halima.jpg
    halima.jpg
    2.6 KB · Views: 179
  • julius nyaisanga.jpg
    julius nyaisanga.jpg
    3.1 KB · Views: 182
  • lweyunga.jpg
    lweyunga.jpg
    3.3 KB · Views: 179
  • tbc5.jpg
    tbc5.jpg
    3.4 KB · Views: 162
Abdallah Mlawa- Kijaluba na Aloysia Isabulla.
Salama Mfamao na Siwatu Luwanda-RIP.
 
-Deborah Mwenda

-Elizabeth Chalamila(Betty Mkwasa)

-Omar Jongo

-Geofrey Erneo

-Enock Ngombale Mwiru-Handsome boy wa Club Raha Leo Show

-Idrissa Sadallah

-Hendrick Michael Libuda

-Nswima Errrrrrnest

-Richard Leo

-Malima Ndelema

-Mohammed Kisengo

-Rosemary Mkangara

-Nathan Rwehabura

-Nkwabi Ng'wanakilala

-STZ alikuwepo mzee Yusuph Omar Chunda

-Abisai Steven

-Charles Martin Hilary Nkwanga(alivyokuwa Radio one akaanza kujiita Bwana Nkwanga)

-Abdallah Idrissa Majura

-Halima Kihemba

Duuu!!

Mkuu, huku Sikonge kulikuwa na familia ya Nswima. Mwanzo tulifikiri ni ndugu ila baadaye ikajulikana si ndugu ila ni jina la KIFIPA.

Enzi hizo Mfipa maarufu ni Maneti wa Vijana (RIP), Mkuu wa wilaya/Mkoa Nswima na huyu mtangazaji. Na nyimbo zao ni "CCM pambalama pokeleli CCM ehhh ......." na ule wa "sisi ni watu wa Rukwa iyelele sisi ni watu wa Rukwa iyelele makao yetu Sumbawanga". Wachaga walikuwa wananifurahisha maana walau Wafipa walikuwa na nyimbo mbili, Wachaga walikuwa na wimbo mmoja tu na REGGAE za akina Peter Tesha, Bob and Rita Malya. Wimbo huo kila kipindi kinachohusu Wachaga ndiyo ulipigwa wa "Ulele ulele ehh kwacha ehhh....." Aibu aibu Wachaga!!!! Cosmas Chidumule aliwaokoa akatunga za Kiswahili akiwa Bima "....siri imefichuka, kosa la mesenger laleta balaa....."

Jina lililonifurahisha pia ni hili la Siwatu Luwanda.

Hivi huyu mama kwenye hii link chini anayeanza kuongea kwenye hiki kipindi ni nani?

http://www.eastafricantube.com/media/12408/RTD-IDHAA_YA_BIASHARA/
 
hawa ndio vigogo,yaani moyo unakuwa mzito nikiwafikiria.mimi ni mkenya lakini redio yangu wakati huo ilikuwa inashika tu rtd.kuanzia jambo hadi usiku mwema.loo.... ama kweli
 
"Hii ni Taarifa ya Habari kutoka Redio Tanzania. Msomaji Jacob Tesha. Kwanza Muhtasari Wake..."

Huyu jamaa hata kama mko na mambo yenu mlikuwa mnalazimika kuacha na kumsikiliza , ole wao watoto wapige kelele wakati Tesha ananguruma!

Mmenikumbusha mbali! kipindi cha mama na mwana! Deborah Mwenda (bibi) TBC.

me too, kumbe utoto sio mbali 25 yrs back naona niko pembeni ya redio baada ya mama na mwana mpira........

Abdallah Mlawa- Kijaluba na Aloysia Isabulla.
Salama Mfamao na Siwatu Luwanda-RIP.

Where is Salama Mfamao??



U see may be we can always love our country kwa kukumbushana enzi hizo,,,,,...sio leo!
 
Back
Top Bottom