Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
JOSEPH SELASINI wa Rombo
Katika uchaguzi uliopita kuna watu waliweza kuingia bungeni bila matakwa ya wananchi, naomba tusisahau hili maana wabongo huwa tunasahau haraka, naanza kuaja mmojawapo
(1) Gozibert Blandes wa karagwe aliyetangazwa kwa mtutu wa bunduki na kusindikizwa uwanja wa ndege chini ya ulinzi mkali,
Naomba kuwakilisha.
JOSEPH SELASINI wa Rombo
Pinda, January na wabunge wote waliochaguliwa na wananchi wanaoitwa 'kupita bila kupingwa'.
Yule jamaa kibaha somebody koka nahisi mwizi mbaya.Aliiba hadi kura za raisi ajiongezee yeye manake za ubunge hazikumtosha
acha uzandiki VGL,chadema hawana systim ya kuiba matokeo.una chuki binafsi na chademaJOSEPH SELASINI wa Rombo
Mkuu ngoja nikusaidie wale wasiomfahamu wamjue kuwa ni yupi unayemzungumzia:
Mkuu ngoja nikusaidie wale wasiomfahamu wamjue kuwa ni yupi unayemzungumzia:
A land of Clowns that has not been named yet..................
1) Mchungaji Lwakatare
2) Profesa Maji maerfu
3) yule dada anayevaaga kikuku, anaimbaimba hivi.....yule ambaye ni chakula ya the leader of them Clown
4) Kibajaji
5) ,........
Halima Mdee-Mahakama imefuta kesi siyo kwamba hana kosa, bali wahurumia gharama za uchaguzi mdogo na slogan kwamba siyo sahihi upinzani kupingana wenyewe bali kukipinga chama tawala(SLAA)Katika uchaguzi uliopita kuna watu waliweza kuingia bungeni bila matakwa ya wananchi, naomba tusisahau hili maana wabongo huwa tunasahau haraka, naanza kuaja mmojawapo
(1) Gozibert Blandes wa karagwe aliyetangazwa kwa mtutu wa bunduki na kusindikizwa uwanja wa ndege chini ya ulinzi mkali,
Naomba kuwakilisha.
Mkuu Kiswahili ni Lugha ngumu sana. Watanzania wengi hawaielewi hasa katika kuandika. Pia kuna lafudhi ambazo zinatuathiri katika matamshi na maandishi ya kiswahili. Wachaga wengi hawawezi kutamka neno nchi lazima atatamka nji! Mhaya hawezi kutamka neno ng'ambo yeye atakuambia ngambo! Mbondei atakutamkia kupunzika badala ya kupumzika. Mkurya hana kitu kinachoitwa la yeye kulala atakutamkia/kuandikia kurara.Nashindwa kuwaelewa baadhi ya wana JF, kwa nini hawawezi kuandika kiswahili fasaha na sanifu au ndio wale waliotoka shule za kata?
HAWAFAI HATA KUWA WAHUDUMU WA OFISI