Linalonisikitisha zaidi ni ATC. Watalii tunaweza kupata wengi labda kuliko nchi yoyote ya Afrika lakini tume fail kuendesha shirika la ndege! Haihitaji kuwa mtaalam kugundua kwamba tungekuwa na shirika zuri la ndege tungetangaza zaidi jina la nchi, kuendeleza utalii (Bara na Zanzibar), kutengeneza ajira na hivyo kupata faida zaidi. Kama Precision Air wanakwenda vizuri east Afrika, nchi kushidwa ku run ATC ni aibu kubwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.