Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,182
- 42,001
Zilikuwa zinalewa sana Vumbi...gafla zimeachana
alaf mgongoni nimetupia begi langu la sport na fagio mkononi utanitaka
Zilikuwa zinalewa sana Vumbi...gafla zimeachana
alaf mgongoni nimetupia begi langu la sport na fagio mkononi utanitaka
Dah, sie wakijijini tulivaa katambuga, sendeu.
umoja tulinunuliwa nyumba nzima ni kandambili zilizo kuwa ngumu sana za sasa fake!
Tena la chelewa na kidumu cha kumwagia maua
Unaonekana kwenu mboga saba
mbona unaniwahi kila kitu,eeeh matairi aka katambuga af fashion yake inarudi kwa kasi
enzi hzo kiukwel tulikuwa vizur kwny 80's, tena dingi alikuwa na pigeot afu
hahahahahahahahahahahhaha
umenikumbusha mbali sana jirani yetu alitamba sana na hili gari enzi hizo
alikuwa nayo pekeake enzi hzo!
hiyo tunaita mgongo wa chura
kweli we mboga tisa
wakuu mnakumbuka. kobukobu ambazo saiv zinaitwa gam boot cjui nimepatia. bas hm kila mtoto alikuwa nazo. unakuta unacheza mimaji inaingia kwa ndan lakn bdo umo tu.ukivua miguu inanuka hyo. lol utoto bwana. . . vituko sana
oooh pole! Worry outenz hzo bna nt nw,saiv choka mbaya make dingi ni marehemu sasa!
Bila hzo kununuliwa huogi
yan hapo nilikuwa naiba mafagio ya watu sana wakati wa kurudi nyumbani na kuwa na mzigo.
Sasa usiende na fagio au kidumu cha maji lazima utashinda unafanya usafi.
oooh pole! Worry out
Nakumbuka yan mgongo wa chura ilikuwa ni gari ya maana sana usipime!